Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Umemaliza kila kitu dada, shida ni kwamba wanawake tunataka kubeba majukumu ya wanaume, hasa hili jukumu la KUPENDA, mwanamke wake mi UTII, Kupenda sio Kazi yetu....kabla sijalijua hili niliteseka sana...
Mwanamke ukijifanya unampenda mwanaume utataka umcontrol, umpe pesa...which ni makosa makubwa sana (it is like you womanize him) we mtii mumeo, hakikisha unamtunza kuanzia jicho lake (ujiweke vizuri wewe na nyumba yako), pua yake (unukie vizuri), tumbo lake(mpikie chakula kizuri), mwili wake (mavazi yake yawe masafi) na masikio yake (asisikie maneno ya kero kutoka kwako)...
Hapo mwanaume asipokupenda huyo mgonjwa.
Tatizo Sisi tunajifanya haki Sawa, tunataka na Sisi tupende mwisho tunaishia kugombania password za simu...
NB. Hakuna usawa Kati ya mwanamke na mwanaume na hautokuja kutokea.... ukiona unatoka nyumbani huombi ruhusa Bali unatoa taarifa na ukirudi mume hata hakukosi Kosi na kibao, ujue hapo huna ndoa, tafuta shughuli nyingine ya kufanya
Ahsañte mama umemaliza Kila kitu ,kupenda na kuhudumiwa tuwachie wao sisi tufanye yetu tunayopaswa kufanya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman dear umechachukaaa vibayaaa.
Kweli Mimi hua nauliza kungai kaolewa?au anaishi wapi?sikurupuki na kama kaachika basi kuwe na sababu
Makungwi WA mjini mlongo mashangingi wanatafuta pesa tut,not otherwise na ukifundishwa wanachanganya humo humo kua uchit hata kidogo,Sasa hapo hakuna kufundwa Bali ni kupotoshana tu
 
Kungwi ni dadapoa
Kungwi Sagaji
Kungwi lilishashindikana nyumbani kwenye mabaraza ya Makanisa, masheikhe, na serikali za mitaa alafu kuna panyabuku wanamsikiliza
Tuna mtihani sana na hiki kizazi kinachokuja Mungu akilinde sana

Nashindwa kuelewa shida ni sisi kumsomeshwa kama wanawake au kushindwa kulinda maadili yetu na tamaduni zetu
 
Asante sana Mamy K na reymage kwa kuwambusha feminists jukumu la mke katika ndoa

[emoji122][emoji122][emoji122]
Ahsante nawe lazima tukumbushane kaka,kupotoshana tunakopotoshwa nje Ndo Kunafanya Leo taasisi ya ndoa isiwe na thamani
Leo watu Wana prefer kua single zaidi
Upotofu umepelekea wanawake Leo tukishakua na pesa tuone hakuna haja ya ndoa unatafuta mtu unazaa nae TU au pesa inatupelekesha mpk kudharau waume zetu
Mifumo ya kimagharibi imeletwa purposely kuharibu tamaduni zetu na Mila zetu

Tuambiane ukweli kama kweli tunaamini Mungu yupo
 
Na kuchukuliana pia, manake mkamilifu duniani hayupo, ukamilifu ni sifa ya Mwenyezimungu tu....kwenye mapungufu unajizima data safari inaendelea.
Sahihi kabisaa uzuri sisi tumeambiwa ndoa ni jihad yake mwanamke ,hvyo kuipambania ndoa Yako ni sadaka mradi TU usichupe mipaka
Watu hawaelewi Lau wanawake wangejua Mume alivyo na hadhi Kwa Mungu tusingekua tunasimama majukwaani nakujitapa eti nimetoa taarifa TU hanibabaishi kitu
 
Kuna ambao ni hopeless lakini hana kipato. Kipato cha mtu hakiwezi kumbadili akawa mjinga kama biblia ilivyoandika.
Mimi naamini wasichana na wavulana wetu hatujawafundisha kuanzia wakiwa wadogo kuheshimu ndoa. By the way siyo ndoa tu haiheshimiwi, hata kazi ofisini na majumbani hamna anayejali. Tuna tatizo kubwa kwenye ngazi ya familia jinsi tunavyowalea watoto wetu.
Kweliii kabisa Kuna hawana kitu afu wajeuri balaa
 
Wew Tena kungwi la kimakonde [emoji23][emoji23]
Hahahaha ...usijalii shogaa!!Mzee WA kupambania kasema na kitandani pia ntakuletea WA hapo mafundi pia[emoji2][emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Stupid kabisa. Mutual respect is a two way street for everyone. Km huheshimu mwanamke na yeye asikuheshimu kasirika piga kelele to hell. Bora ubaki single and alone kuliko kunyanyaswa, kubakwa, kupigwa eti kutii while yeye anacheat, anafanya uhuni wote mjini...to hell hata what your religions says; Dignity is for everybody. Km mtu hapati hadhi aondoke; msijidai hapa cjui ujeuri; it goes both way Km jeuri basi achana naye; heshima na hadhi kwa wote. Km unataka utumwa fuga mbwa hata uyo mbwa hatokutii kila kitu.
 
Umewapiga za Uso , kazi yao imebaki kuwageuza Wanawake wenzao kama fursa, ett kiimgilio Cha Warsha "Laki Moja "...wahi sasa, tiketi ni chache.

Anayeenda kuwafundisha ni janamke gumegume, liloshindwa Ndoa miaka Kadhaa Kwa tabia zake za uchepukaji na ubishi ,lisilotii na pengine hata limekeketwa, linaenda Gym na kufanya mazoezi mazitoo matokeo yake Oestrogen imeshukaa, limekua na ongezeko la Testosterone Sasa limejikuta Lina mitabia ya Kiume ila linavaa mavazi ya kike.

Jingine unalikuta kisa lilisoma, au lilipata kazi mapema, au Kwa michongo michongo au hata kama ni Kwa uhalali basi kisa halimchi Mungu, alafu kikawa financially stable, na Lina Elimu .... Limejikuta halitulii na Wanaume, kwakua sisi wanaume tunapenda mwanamke mnyenyekevu ,basi limechagua kuzaa tuuu ili lilee lenyeweee na hatima yake limetuongezea watoto wa kiume mashoga na ambao wanajiita mashoga Hadi kwenye mitandao jamii!!

Nalo linakuja na "Akina Mama, tukutane Ukumbi pale Mliman city tarehe 31/3/2023 ,kiingilio Laki na Hamsini, tutakula na kuongea mambo ya Ndoa "

Ndoa ya Nyokooo !!! Mmetuharibia Wake za kuoa, mmewafunza ujinga na ujeuri , mwanamke hajui kupika, hajui hata kumnyoosha nguo, achilia mbali hata kupanga vitu Ndani hajui. Janamke ni Saloon, makope bandia, makucha bandia, kujipodoaaaa weeee, Hilo kazini !!

Oyaa, Mkikutana na Demu wa Ivo. Kuleni mbususu mara kadha wa kadhaa alafu msioe,, kuoa oeni wanawake wenye uanamke ndani mwao, wenye hofu ya mungu, wanawake ambao watawalelea watoto wa kiume anakua mwanaume, wakike anakua mwanamke.

Tena, zile familia mnazokuta mwanamke ni mwanaharakati, msithubutu kuoa kwenye hiyo miji.,achen akae na mabinti zake, wamzalie hapohapo, alee wajukuu hapohapo.

Mahitaji ya Mwanaume ni

[emoji117]Heshima ....( Na hili Maandiko matakatifu yameliwela wazi, Heshima Kwa Mwanaume akiipata Toka Kwa mwanamke wake anajihisi ni Mfalme anayemiliki Dunia nzima)

[emoji117]Upendo ( hapa mwanaume anataka aone una mchagulia nguo yankuvaa? Unampikia? Unamwambia umependeza ? Unamshauri ? ...mambo haya sisi wanaume ndio tunayatafasiri kama Upendo yaaan "Mwanamke wangu ananipenda sana aiseee unakuta ananipikia, ananinyooshea nguo, atanipangia nguo za kuvaaa " ,sisi wanaume hapo tunaona ndio tunapendwaaaaaa

[emoji117]Mapenzi , mwanaume yoyote asokua na tatizo la nguvu za kiume, na anakula anashiba anakunywa Maji maji yanenda mpaka kwenye kucha za miguu, Hana stress, hata kama anastress, wee Moe mbususu, nipe mbususu ,nipe mbususu nipe mbususu mpaka mwenyewe niwe naikwepa "
Umeandika kwa uchungu sana mkuu[emoji2960][emoji2960]
 
Back
Top Bottom