Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Uko sawa kabisa upate ulinzi kamamaa!

Jamii inapaswa ijiulize sasa,
Nani kamfikisha mwanamke hapo, ni baba na babu aliyemtesa sana mama na bibi, binti na mjukuu akasoma kwa nyakati na wakati akaazimia kuleta mabadiliko. Hizo njia sasa ndiyo zinakuja tofautitofauti, mojawapo ni hiyo ya kujilinganisha na mwanamme na matokeo yake Ni mabaya.
Binti afundishwe namna nzuri za kumkabili mwanamme toxic, there are a lot positive ways towards a gender balanced society.
 
Haya mashirika yanayo jiita watetea haki za wanawake yanatakiwa kupingwa marufuku yanatuharibia watoto wa kike.

Uturuki ilishutuka ikajitoa kwenye mikataba ya kipuuzi ya kulinda sijui haki za wanawake.

Mm huwa nawashangaa watu wanavyo pondaga waarabu kwa kuweka udhibiti mkali dhidi ya wanawake.

Mwana mke ni kiumbe hatari sana ndani ya jamii asipo wekewa mipaka na kudhibitiwa ,hasa hawa wanawake wa kiafrika ambao wengi wao wamejaza matope vichwani badala ya ubongo.

Hata mungu aliye tuumba kwenye vitabu vyake vya dini ameweka sheria kali sana za kudhibiti wanawake lakini cha kushangaza ss tukajifanya tunawajua sana kuliko aliye waumba.
 
Njisikia furaha sana Kwa Mwanaume kama Mimi mwenye chembechembe za ukoloni kuona kwamba Kuna Wanawake wananielewa nachotaka hata bila kuwaambia 😆😆😆
Barikiwa sana ,,nilitakiwa Leo jioni nikupe Mtoko wa nguvu !!.
 
Pesa na elimu vikae mbali na ndoa jamani
Tunajazana ujinga nowdays mnoo....ila Kuna mwanamke kaolewa ukute anapowachonja wenziwe wasihudumie Waume zao Sasa!!!hahahaaa yeye kwake mpolee
Siku Moja shoga angu akaniambia weee!!!!twende kwake Fulani tumekuta anapika mmewe kaja kampokea vzr
Mzeee Sina hamu ,akaniambia za kuambiwa changanya na zako huyuu mnaafiki ukimsikia anavyopotosha wenziweee sasa
 
Thanks kupiga nyundo!!! kabisaa yaani Mimi hua pia nawaambiaga tujifunze kwa waliofaulu sio Kila mwanamme mbaya na sio Kila ndoa mbaya,zipo ndoa nzuri Tena both male and female Wana pesa but wanaheshimiana
Baadhi ya wanawake kuwapanda Waume zenu kichwani sio kanuni ya kidunia ,wanatuharibia watoto wa kike,50/50 haipo na haitakaa iwepo
Wazazi wetu walitusomesha Ili tujitambue ila sio kuja kuharibu mpango wa Mungu ndoa ziheshimiwa na watu wote
 
Kwa mtu mwenye elimu na mihela yake na umri wake n ngumu sana kukuelewa ila ulichosema n kweli tupu.
 
Ahsante mama D kabisaa yaani kizazi chetu ht dini hatufati
 
Ndiooo wengine wanawapoteza, lkn yeye Ndani ananyweaaaaa kama chlorpheniramine ( Piriton).
Muwapuuze ,wapuuzieni mbali, muwakataeee waziwazi,. Msiwasupport kwenye mavipindi yaoo, wakataeni waziwazi .



Tenaa wambieni waziwazi, tumewachokaa, msituharibie Ndoa zetu
 
Mimi naumia kuona tunapotoshwa na tunakubali kizembe
 
Ni ukosefu wa akili tu!juzi nimeoza mdogo wangu ,nikamuambia hivi wewe ni graduates ndoa haiendeshwi na uzungu GPA but Utii!!!
Pepo Iko kwa mumeo!!! Kajenge nyumba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…