Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

Eti mwanamke mwenye miaka 23 huyo mwanamke au mtoto?

Mwanamke anaanza kujua thamani ya ndoa above 28 huko.

Below hapo piga mbupu tembea.
Syo wote nakuambia n kwamba huenda mmekutana na 23 wasiyojitambua......naongea hiv maana nina ushahid mwanaume akijitambua haez shndwa na mwanamke hata awe na miaka 15 akpata mwanaume anayejitambua aki atasimama kama mama wa miaka 45
 
Syo wote nakuambia n kwamba huenda mmekutana na 23 wasiyojitambua......naongea hiv maana nina ushahid mwanaume akijitambua haez shndwa na mwanamke hata awe na miaka 15 akpata mwanaume anayejitambua aki atasimama kama mama wa miaka 45
Kweli
 
Bodaboda washamsugua huyo! Soon utatukanwa mchana peupe
 
Kuna wanawake wanaojielewa na wako na heshima kwa waume zao na wengine awajielewi wapo wapo tuu hata umufanyie nn Hana shukran hapo tunawatumia kwa starehe basi hivyo usiumize kichwa kwa mwanamke wa dizain hiyo .Over
 
Usichokijua kiblia na kisayansia anaezaa ni mwanaume na mwanamke kazi kujifungua tu yani kama kutema mtoto

hivi umewahi kujiuliza baba angetumia kondom au angepiga puchu na akakumwaga wewe kama mbegu ungekuwepo duniani ?? ?au basi mbegu yako wewe angeamua kwa mwanamke chizi au asiyejielewa hivi wewe maish yako yangekua wapi?
 
...
 
Hiyo 12,000 na ushee unayompa ni mshahara au ppsho???

Kilichokosekana hapo ni kitu kidogp tu kati yenu umekuja bebesha lawama wanawake wote wakati shida mnayo nyie wawili.....

Anachohitaji mkeo ni care ndogo ndogo tu... mpe 20,000 kasuke au 10,000 kanunue hata kijora nk nk

Msome mkeo sio kulialia na 12-20k!!! La sivyo utapambana sana na status za mafumbo!!
 
Nimpe 15, 20 kwa siku yupo kwao halipi kodi wala nn alafu nilete habari za care we ni chizi nini
 
Wanawake wengine hasara tu! Mtu unamshirikisha kwenye biashara yako unamlipa pesa bado anakuona mbahili?

Sasa alitaka akae tu nyumbani apewe hizo hela bure? Hawa ndiyo wanasababishaga wanawake wote tunadharaulika tu!
 
Yaani ukakaa ukashauriana na halmashauri ya kichwa chako then ukaona uje ufungue uzi wa kumlaumu huyo binti!! Hivi huoni wewe ndio tatizo?
 
Wanawake wengine hasara tu! Mtu unamshirikisha kwenye biashara yako unamlipa pesa bado anakuona mbahili?

Sasa alitaka akae tu nyumbani apewe hizo hela bure? Hawa ndiyo wanasababishaga wanawake wote tunadharaulika tu!
Hatarii
 
''kugawana'' hahaaha yaani mimi nipigike kwenye vibarua afu tugawane na mtu amabaye hata sio mke wangu shit hata mke wangu pia hatugawani anahudumiwa
 
Hapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri mkeo.

Tatizo linaanzia hapo mkuu.

Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi au biashara mnayofanya.

Kwahiyo anachodai hapo ni "hela ya kuwa wapenzi".
Sijajua hiyo hela inaitwaje.
Tozo ya penzi ile 😂 ambayo mademu wote wa jf wanailalamikiaga ile!....

“Mwanaume lazma anihudumie!”...”Mwanaume asiye na hela hata genye hazipandi!”...”Mwanaume raha akupe pesa bwana”
Ukiweza kuelewa undani wa hizo kauli ndio pesa hio ambayo inalalamikiwa na huyo demu wako.

Kwa lugha nyepesi yani umpe kibunda chake cha fungu la 10 toka kwenye kipato chako binafsi 😂 kila mwezi! Ila kwa mimi binafsi mwanamke ambaye hana shukurani namna hio sahizi ingekuwa imebaki story tu japo ulikosea sana.


Mwanamke hatakiwi kujua unaingiza bei gani kwa siku! Maana ameshakadiria na kuzidisha kwa mwezi mzima hapo akapata figure ya maana kwenye 3M anaona yeye unampa 400k kwa mwezi hizo zingine unakula na nani? 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…