Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweeeh!! Mnatunanga hadi sio poa[emoji1787]
Ah wapi. Wengi wenu wapo mahausgel, unakuta wameshapika. Sasa wewe unakuta unaenda huku mara unatokea huko, mara kuchat na mkilemba kichwaniJamani tunafunga nywele maana haitakiwi tupike na nywele wazi zitaangukia kwa chakula jamani. Sasa kutwa nzima nimejibana nikirudi home kadera lazima kahusike mwili upumue kidogo.
Haya ndio manenoAkina Mama na akina dada naomba tuzingatie mafunzo ya Kungwi laoo Irene Mbowe kuhusu vazi la wkend
Anasema uvae vzuri upendeze na haiba yako mwanamke hasa Mr akiwepo
Kama inavyoonekana hp pichani kwa kungwi laoo
View attachment 1771593View attachment 1771595
Cc
Espy Karucee kajojo nk
Ndiyo maana kuna kutoana out. Kama unataka apendeze mpeleka dinner, kanisani au hata kwenye sherehe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati segere jmnKama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.
Duh....Wanawake baadhi yenu badilikeni, yaani unawakuta wanajiremba kujipodoa kwa ajili ya Kwenda kazini lakini kwa mumewe hamna kitu
Ahh jmn its not an excuse.,Ndiyo maana kuna kutoana out. Kama unataka apendeze mpeleka dinner, kanisani au hata kwenye sherehe.
Ila pamoja na mapungufu ya wanawake..Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
Wanawake baadhi yenu badilikeni, yaani unawakuta wanajiremba kujipodoa kwa ajili ya Kwenda kazini lakini kwa mumewe hamna kitu
Mnafungaje lemba na joto hili wooi🤗Umenigusa kwa kweli, mimi sio wa vipodozi kivileeee ila haya mambo ya kutengeneza nywele zinarembeka na kuvutia halafu lemba halibanduki kila nikifika nyumbani naacha sasahivi
Unafikiriaga ujinga sana aisee badilika please [emoji120]Ukiona hivyo jamaa hajachangia hela ya Saluni.
Kwa hiyo shoo ambayo haujalipia haiwezi kukuburudisha.
Sisi wanawake ni zaidi ya mtujuavyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pamoja na bangi zako, hakika una akili weweKuna la kujifunza kupitia huu uzi
🤣🤣 dah!Pamoja na bangi zako, hakika una akili wewe
Mmh hapana kabisa...haya ni mazoea ya ke wengiUkiona hivyo jamaa hajachangia hela ya Saluni.
Kwa hiyo shoo ambayo haujalipia haiwezi kukuburudisha.
Sisi wanawake ni zaidi ya mtujuavyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ni udanganyifu wa hali ya juuSikuliweka hili akilini, Ila ni swala muhimu wadada kuzingatia. Home ni mchafu mchafu, kazini kila kidume kinameza mate..dah!
Huwa inakata nyeg..e sana badilikaYaani huyo ni mimi kabisaaaaa,
Hapa yenyewe nipo kama nimetoka kwenye mashimo ya migodi nywele zipo kitimtim, sina habari nazo.