Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Jamani tunafunga nywele maana haitakiwi tupike na nywele wazi zitaangukia kwa chakula jamani. Sasa kutwa nzima nimejibana nikirudi home kadera lazima kahusike mwili upumue kidogo.
Ah wapi. Wengi wenu wapo mahausgel, unakuta wameshapika. Sasa wewe unakuta unaenda huku mara unatokea huko, mara kuchat na mkilemba kichwani
 
Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati segere jmn
 
Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama

Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.

Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.

Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.

Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
Ila pamoja na mapungufu ya wanawake..
Wanaume hamjui ugumu wa shughuli za nyumbani.,
Hakikisha mna dada mmoja au wawili kumsaidia mama
 
Yaani huyo ni mimi kabisaaaaa,
Hapa yenyewe nipo kama nimetoka kwenye mashimo ya migodi nywele zipo kitimtim, sina habari nazo.
Huwa inakata nyeg..e sana badilika
 
Back
Top Bottom