Wanawake punguzeni kidogo kutumia sura bandia, mnatumia sana chujio (filtering)

Wanawake punguzeni kidogo kutumia sura bandia, mnatumia sana chujio (filtering)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp

Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi walikuwa wametumia filter na kuonekana wazuri warembo balaa. Wakiwa na sura nyororo na nywele nzuri za gharama.

Kumbe sio kweli.
 
Unajua kwa nini wanaume tunaitwa wote mbwa.Mbwa wanasiri za kuwafahamu wanawake.
IMG_0618.jpeg
 
Wiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp

Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi walikuwa wametumia filter na kuonekana wazuri warembo balaa. Wakiwa na sura nyororo na nywele nzuri za gharama.

Kumbe sio kweli.
Kwa hiyo?
 
Si ndio vitu mnapenda sasa wafanyaje
Have u ever heard a man say that we love all that fake stuff?
Plus isnt u women who say that u were for ur own pleasure na ajo kuvutia wanaume? Thats ur choice. We dnt like it at all.
Wee kuwa na takoz natural, titi saa sita upaja kama wa mobeto alooh ukichanganya na kutokuomba hela ya salon wee ni wife material kabisaaa😜
 
Have u ever heard a man say that we love all that fake stuff?
Plus isnt u women who say that u were for ur own pleasure na ajo kuvutia wanaume? Thats ur choice. We dnt like it at all.
Wee kuwa na takoz natural, titi saa sita upaja kama wa mobeto alooh ukichanganya na kutokuomba hela ya salon wee ni wife material kabisaaa😜
Sijasema mnapenda vitu fake ila mnapenda mwanamke mwenye muonekano mzuri na wao wanaamua kupitia humo humo sasa ni juu yako kuchagua alie natural ama fake.
 
so far.... Mimi huwa sishangai mwanamke anaefanya hayo yote!

Hata akinitumia picha najua hii ni filter hapa make up, hapa yupo kawaida..

Kwahiyo ni vitu vyao...... kikubwa kaona kinamvutia actually afanye!

Hizo fakes mnazoita make up, kucha, nywele, vidogoro, ni biashara za watu na zinawapa kula so i support them to do it kwa wingi nao wafanyabiashara tusikose kula!
 
Wiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp

Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi walikuwa wametumia filter na kuonekana wazuri warembo balaa. Wakiwa na sura nyororo na nywele nzuri za gharama.

Kumbe sio kweli.
Wanajiedit mno, unamwona mwanamke mzuri balaa na ngozi Nyororo ila ukikutana nae unaziba mdomo
 
Have u ever heard a man say that we love all that fake stuff?
Plus isnt u women who say that u were for ur own pleasure na ajo kuvutia wanaume? Thats ur choice. We dnt like it at all.
Wee kuwa na takoz natural, titi saa sita upaja kama wa mobeto alooh ukichanganya na kutokuomba hela ya salon wee ni wife material kabisaaa😜
Kwahiyo mobeto ni natural?😂🤔
Ht tofauti ya tako og na fake sidhani km wengi wanaelewa
 
Back
Top Bottom