Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kabisa nakuunga mkono Aziz KiWee tako natural lile acha wivu 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa nakuunga mkono Aziz KiWee tako natural lile acha wivu 😜
Kitu well formed lainiiiiKabisa nakuunga mkono Aziz Ki
Mifuko yenu inawindwa mkuu😀😀😀Wiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp
Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi walikuwa wametumia filter na kuonekana wazuri warembo balaa. Wakiwa na sura nyororo na nywele nzuri za gharama.
Kumbe sio kweli.
Msamehe wa kumbejeUmesema Kenge?
Eeh ndio tunapenda mwenye muonekano mzuri ambaye 98 percent batural anatumia vipodozi kidogo ku enhance beauty yake.Sijasema mnapenda vitu fake ila mnapenda mwanamke mwenye muonekano mzuri na wao wanaamua kupitia humo humo sasa ni juu yako kuchagua alie natural ama fake.
Hawajijui tu mwanamke mweusi alivyo na mvuto.Huwa nashangaa mtu ni cheusi mangala unakuta kapost picha ni white soldier.
Hivi huwa mnajisikia vizuri kufanya hivyo alafu ni almost wanawake wengi wapenda mitandao.
😂Uzuri ni asiliYaani tupende wabaya🤣🤣🤣 mbona nyie hampendi wanaume tuliofulia kama mzabzab
Em ngoja kwanza umetuita kenge 😳Hawa kenge they are so fakeee mpaka basi. Alafunutasikia mwanaume tafuta hela🤣🤣🤣🤣
Wig fake kucha feki mbususu feki tako feki
😂😂Wivuuu khaaa Kwa kipi jmnWee tako natural lile acha wivu 😜
Kama hiviWiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp
Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi walikuwa wametumia filter na kuonekana wazuri warembo balaa. Wakiwa na sura nyororo na nywele nzuri za gharama.
Kumbe sio kweli.
Bila kusahau rangi ya chocolateHawajijui tu mwanamke mweusi alivyo na mvuto.
Wa hivi ndio wanakula pesa ya nauli mkuu halafu kutokea hawatokei😁😁Kama hivi
Ndio weusi wenyewe huo , au unasemea maji ya maharage 😁Bila kusahau rangi ya chocolate
wanakula samaki wakiwa vifaranga mpaka kuuzwaHicho chakula unachouza wanakula samaki na nguruwe au kinatokana na samaki na nguruwe?
Dah mkuu unawajua vizuri kwa kwel ,pichani anaitwa nan huyo?Siku hizi wameona haitoshi wakaenda mbali zaidi wanarekebisha makalio. View attachment 3250263
Ngojea uzee uanze kumnyemelea.Wenyewe siku hizi wanakwambia wanavutia madanga, yule mke wa Momo tako kubwa mpaka linataka kuporomoka,halafu lina dimpozi viguu vidogo.
Nabado wanavaa Yale machupi yamevimba kwenye sukari.
Dah hii sikujua mkuu kumbe tunaibiwa kwa namna hii Tayana-wog umeona ?
Huyo anaitwa Nicole, hawa na akina Mwijaku na Baba level ndio marole model wa vijana wetu wakike na wakiume. Kama hizi surgery ndio zinakuja kwa kasi sana, sijajua TBS wanafanya utafiti na kucheki usalama wa haya madawa.Dah mkuu unawajua vizuri kwa kwel ,pichani anaitwa nan huyo?