Wanawake punguzeni kidogo kutumia sura bandia, mnatumia sana chujio (filtering)

Mifuko yenu inawindwa mkuu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Kama hivi
 

Attachments

  • AQNoCCwIxCMcUC8YKcGhlbLjRARD-UXIB3f7uRiN2iQ_ljWYZq6ZRuUs-Nibbv3F4YD3IozC6Z5dN9yb535bODaf.mp4
    193.6 KB
Siku hizi wameona haitoshi wakaenda mbali zaidi wanarekebisha makalio.
Ngojea uzee uanze kumnyemelea.Wenyewe siku hizi wanakwambia wanavutia madanga, yule mke wa Momo tako kubwa mpaka linataka kuporomoka,halafu lina dimpozi viguu vidogo.
 
Dah mkuu unawajua vizuri kwa kwel ,pichani anaitwa nan huyo?
Huyo anaitwa Nicole, hawa na akina Mwijaku na Baba level ndio marole model wa vijana wetu wakike na wakiume. Kama hizi surgery ndio zinakuja kwa kasi sana, sijajua TBS wanafanya utafiti na kucheki usalama wa haya madawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ