Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Ni aibu sana wanawake yunajidhalilisha sana..... Sa hv nishaona mdada Kazi anayo lkn kuomba omba kuko pale pale ni aibu sana aiseh

huwa mnakwama wapi? yaani pesa yenu sio tamu au vipi?
 
Mmoja juzi kati tumefahamiana yaani amenikera sana usiku saa 6 akaomba 5000 ya bando kisa eti ameboreka maana kifurushi ktk dstv kilikata.kesho yake asubuhi natakiwa nilipie dstv nikapiga chenga nikamwambia mimi nimeshindwa kulipia azam itakuwaje nimlipie akajibu wewe hujalipia maana sio kipaumbele ,sasa hadi leo nadaiwa pesa ya king'amuzi.imebidi niiogope simu yake

hahaha safi sana jiulize kabla ya wewe alikuwa anamuomba nani pesa ya kifurushi[emoji23][emoji23] yaani wanawake
 
Sister hujamwelewa mtoa mada na hujui majanga tunayokumbana nayo wanaume wakati wa kutongoza.

Mtu anakuomba hela ila ukimwalika mahali kama kwenye mgahawa ku-spend time na ww hataki, kwenye chating anajibu sms kama unamfosi.. leo akiomba elf 20 ukimpa, kesho ataomba elf 15, kesho kutwa ataomba tena elf 30, Unapata feeling kama vile anakukomoa, hapo hata kama una million 90 kwenye account ukiombwa elf 10 lazma uje kuanzisha uzi jf

Mwanamke asipokupenda ni hasara sana sophy27

Wanawak wote akili zao moja tu ndo maana hawajui kushauliana utasikia anamwambia mwanamke nenda ila utajua mwenyewe[emoji23][emoji23] sasa ndo nini
 
Depal amadala to yeye Shida sio ninyi kuomba pesa, By nature sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.

Shida kubwa ni kuwa Wanawake wengi tunaowatongoza mnatuomba hela kwa nia ovu ya kutukomoa, na si kwamba mna shida kweli, na sisi wanaume tuna-sense hicho kitu, niliprove hicho kitu kwa kusoma kitabu kimoja kimeandikwa na mdada wa kimarekani Baje Fletcher cha jinsi ya kuwachuna wanaume pesa bila kutoa papuchi, nikasema this is A sick world.

NB:
Mwanaume kukunyima hela haimaanishi he is broke, ingawa wengi wetu tuko broke

umeongea ukwel kabisa[emoji122][emoji122]
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Hakika mkuu
 
Hapo kwenye kutatua shida zake bila kukusumbua ndo kumuomba mwanaume mwenzio ambaye huyo binti hampendi kivile
[emoji1787][emoji1787] then tunarudi pale pale lazima mwanamke ataomba pesaa kwa mwanaume

Kama hamtaki kutoa pesa then toeni matumizi walau kwa wiki au mwezi..

nitoe matumizi kama nani? kama mke wangu sawa ntakupa ila tumekutana mtaani tu nikupe matumizi weee umesikua wapi
 
Ila wanaume jf mnapenda kulalamika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

nyie je?
 
Back
Top Bottom