Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkipata wasioomba hela mnawavuruga
Acha waendelee kuwakamua
Na tujiandae kuhesabiwa jamani
Hapo kwenye kutatua shida zake bila kukusumbua ndo kumuomba mwanaume mwenzio ambaye huyo binti hampendi kivile
[emoji1787][emoji1787] then tunarudi pale pale lazima mwanamke ataomba pesaa kwa mwanaume
Kama hamtaki kutoa pesa then toeni matumizi walau kwa wiki au mwezi..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haka kaneno kanachekesha kweli, [emoji119] Eti nikuambie kitu?[emoji1787]
Kuna baadhi ya wanaume mnawadhalilisha sana wanaume wenzenu ambao wanajielewa mtu kuomba umsaidie sijui km anamaanisha amekuwa omba omba na wakat tunanduguzetu wengi wa kiume tunawapiga tafu sana tu
Kma hunaela tafuta ela na utapata tu Mungu atakusaidia ila mnatubully sana aisee vitu vingine ni vidogo mno na vya kawaida kabisa
Amekusikia naona ameondoa ila huko aliko yule mama kutakuwa kunawaka motoMkuu mfanyie ungwana, fanya uhide mobile number kwanza...
Huwa sometimes tunawapima tusasa kama hamna mbona mnaomba omba.. nyie hela zenu ziko wapi? njaa tu