Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Basi kama ni hivyo asilimia 98 ya wanawake wa Tanzania hawawapendi wanaume wao.
Maana ni karibu wanawake wote wa Tanzania wana kero hii.
Mbona mimi nikipataga wanawake wa Kenya kero hii huwa siipati?ina maana wanawake wa Kenya wananipenda na kunijali sana kuliko wadada wananchi wenzangu wa Tanzania?
Hii tabia inatia kichefuchefu sana sema wanaume tunamezea tu kimyakimya hatupendi makelele.
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
hahahahahaha
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
we umenisanua,kumbe ndio hv? Ndo maana naonaga bora kuwa bahili tu
 
Basi kama ni hivyo asilimia 98 ya wanawake wa Tanzania hawawapendi wanaume wao.
Maana ni karibu wanawake wote wa Tanzania wana kero hii.
Mbona mimi nikipataga wanawake wa Kenya kero hii huwa siipati?ina maana wanawake wa Kenya wananipenda na kunijali sana kuliko wadada wananchi wenzangu wa Tanzania?
Hii tabia inatia kichefuchefu sana sema wanaume tunamezea tu kimyakimya hatupendi makelele.
Tatizo mbususu tamu ndio maana tunamezea tuu ili tupate utelezi
 
Sister hujamwelewa mtoa mada na hujui majanga tunayokumbana nayo wanaume wakati wa kutongoza.

Mtu anakuomba hela ila ukimwalika mahali kama kwenye mgahawa ku-spend time na ww hataki, kwenye chating anajibu sms kama unamfosi.. leo akiomba elf 20 ukimpa, kesho ataomba elf 15, kesho kutwa ataomba tena elf 30, Unapata feeling kama vile anakukomoa, hapo hata kama una million 90 kwenye account ukiombwa elf 10 lazma uje kuanzisha uzi jf

Mwanamke asipokupenda ni hasara sana sophy27[/
[/QUOTE][/
[/QUOTE]
Mbna umeongea Kwa huzuni hivo jmn
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Hahhh hiyo ndiyo sababu inayopelekea nisitongoze kabisa bora nivumilie kuwa single kuliko kusumbuliwa sumbuliwa kila saa hawa viumbe MUNGU anawaona sikuizi wamegeuza miili yao kama sehemu ya kipato inasikitisha sana.
 
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO

View attachment 2297118
Wapo wana shida na wapo ni tabia zao
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

hatari wanawake siku hizi wamekuwa omba omba wananitia hasira sana yaan mwanamke ukumuondoa K walai hana cha kujivunia maishani mwake
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.

uwajui wanawake wewe
 
Back
Top Bottom