Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Depal amadala to yeye Shida sio ninyi kuomba pesa, By nature sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.

Shida kubwa ni kuwa Wanawake wengi tunaowatongoza mnatuomba hela kwa nia ovu ya kutukomoa, na si kwamba mna shida kweli, na sisi wanaume tuna-sense hicho kitu, niliprove hicho kitu kwa kusoma kitabu kimoja kimeandikwa na mdada wa kimarekani Baje Fletcher cha jinsi ya kuwachuna wanaume pesa bila kutoa papuchi, nikasema this is A sick world.

NB:
Mwanaume kukunyima hela haimaanishi he is broke, ingawa wengi wetu tuko broke
Kwa mbaliii you’ve talked something… pia kama wewe hapo ushakuwa na mentality ya ukiombwa pesa tu ni unakomolewa kitu ambacho sio kizuri, maana kuna mtoto wa mtu huko utakuwa unamkwaza balaa
 
Mi nimenyooka sana kama mtu simtaki namwambia na hela zake sichukui kabisa,, kama ni mtu wangu asipojiongeza, nakufaga na tabu zangu
Kwa upande wako upo tofauti Sana na wanawake wenzio wengi sio kwamba Wanaume hawapendi kuombwa ila wanachopinga kuombwa sana unakuta wiki 1 tu demu kakuomba kama Mara 4 hivi au siku 1 kakuomba vitu vingi Mara kodi, Mara hela ya salon au hela ya nguo.Kwa tabia uliyonayo wewe hata ukija kumuomba Mwanaume hiyo haina shida mwanaume atajua kweli unashida kwasababu huna tabia ya kuomba omba
 
Mmoja juzi kati tumefahamiana yaani amenikera sana usiku saa 6 akaomba 5000 ya bando kisa eti ameboreka maana kifurushi ktk dstv kilikata.kesho yake asubuhi natakiwa nilipie dstv nikapiga chenga nikamwambia mimi nimeshindwa kulipia azam itakuwaje nimlipie akajibu wewe hujalipia maana sio kipaumbele ,sasa hadi leo nadaiwa pesa ya king'amuzi.imebidi niiogope simu yake
Wakati ana nunua dstv alikushilikisha asikuumize kichwa block cm yako af unaiogopa?
 
Kwa upande wako upo tofauti Sana na wanawake wenzio wengi sio kwamba Wanaume hawapendi kuombwa ila wanachopinga kuombwa sana unakuta wiki 1 tu demu kakuomba kama Mara 4 hivi au siku 1 kakuomba vitu vingi Mara kodi, Mara hela ya salon au hela ya nguo.Kwa tabia uliyonayo wewe hata ukija kumuomba Mwanaume hiyo haina shida mwanaume atajua kweli unashida kwasababu huna tabia ya kuomba omba
Labda iwe shida ya kutishia uhai wa mtu, nilishashindwa kuomba cha mwanaume/mtu
 
Kwangu nimeona nipangue kila kirungu kinachokuja kwangu.jana nimeambulia virungu vinne vitatu nimechomoa kirungu Cha mwisho nikanasa..nisiseme sana maneno mengi humaliza buyu la asali..virungu vitatu vya jana [emoji116][emoji116]
Screenshot_20220720-083249_1.jpg
Screenshot_20220720-083309_1.jpg
Screenshot_20220720-083339_2.jpg
 
Depal amadala to yeye Shida sio ninyi kuomba pesa, By nature sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.

Shida kubwa ni kuwa Wanawake wengi tunaowatongoza mnatuomba hela kwa nia ovu ya kutukomoa, na si kwamba mna shida kweli, na sisi wanaume tuna-sense hicho kitu, niliprove hicho kitu kwa kusoma kitabu kimoja kimeandikwa na mdada wa kimarekani Baje Fletcher cha jinsi ya kuwachuna wanaume pesa bila kutoa papuchi, nikasema this is A sick world.

NB:
Mwanaume kukunyima hela haimaanishi he is broke, ingawa wengi wetu tuko broke
Umenena aisee
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Hapo kwenye kutatua shida zake bila kukusumbua ndo kumuomba mwanaume mwenzio ambaye huyo binti hampendi kivile
[emoji1787][emoji1787] then tunarudi pale pale lazima mwanamke ataomba pesaa kwa mwanaume

Kama hamtaki kutoa pesa then toeni matumizi walau kwa wiki au mwezi..
 
Ukweli ni kwamba;

Mkibadilishana namba na msichana baada ya muda mfupi yaani ndani ya siku 2 anaomba eidha ya kusuka, umwongezee kodi au utasikia hapa nilipo nina njaa sijala naomba 20k.

Kuomba pesa sio tatizo, tatizo timing, wasichana 80% hawana uvumilivu wala mshipa wa aibu.
Sasa hiyo ndo entry fees ya mahusiano..Pengine hana hata shida nayo anakupima tu au hakutaki tu.Anakupiga mzinga ili umute na yeye amute
 
Back
Top Bottom