Kweli na nyie ifike mahala mwanaume kuchepuka muone jambi la kawaida. Mambo ya kuviziana usiku saa saba tumelala ndio mpekue simu zetu muacheIfikie hatua muone ni jambo la kawaida. Sababu tangia muanzage kulalamika si leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli na nyie ifike mahala mwanaume kuchepuka muone jambi la kawaida. Mambo ya kuviziana usiku saa saba tumelala ndio mpekue simu zetu muacheIfikie hatua muone ni jambo la kawaida. Sababu tangia muanzage kulalamika si leo.
Heheheee. Kikubwa Wacheni mkono wa birika.Kweli na nyie ifike mahala mwanaume kuchepuka muone jambi la kawaida. Mambo ya kuviziana usiku saa saba tumelala ndio mpekue simu zetu muache
Sawa na nyie pia acheni kumaindi mambo ya michepuko yetu. Cha msingi wewe na watoto wanapata huduma basi. Wacha mwanaume aburudike na mbususuHeheheee. Kikubwa Wacheni mkono wa birika.
Hizi blah blah zingine huwa ni hulka tu ya mtu.
Aludi TenaYaan [emoji1787] kama hiyo namba kuna ndugu zake humu
Nina demu Moja ninae Sasa yapata week ananambia nimlipie deni lake la Songesha elfu54. Sijajibu sms zake Toka JanaUkimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Ni aibu sana wanawake yunajidhalilisha sana..... Sa hv nishaona mdada Kazi anayo lkn kuomba omba kuko pale pale ni aibu sana aisehWakuu Habari zenu!!
Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.
UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.
Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??
UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
View attachment 2297118
Ooh sawa kabisa, hata hivyo kwa vile sisi bado ni watanzania tutatoa tu, japo wengine tunatoa cha ziada, kama hakipo hicho za ziada basi hatutoi. Ila wakati mnaomba, mkumbuke pia hata sisi tuna majukumu yetu, tena mengi sana...hehe!!Hahaha lilikuwa jina zuri sana
Bora yatima atakumbuka fadhilaa nakwambiaa sio hawa tumbilii[emoji849]View attachment 2297303
😀 😀 😀 😀Mmoja juzi kati tumefahamiana yaani amenikera sana usiku saa 6 akaomba 5000 ya bando kisa eti ameboreka maana kifurushi ktk dstv kilikata.kesho yake asubuhi natakiwa nilipie dstv nikapiga chenga nikamwambia mimi nimeshindwa kulipia azam itakuwaje nimlipie akajibu wewe hujalipia maana sio kipaumbele ,sasa hadi leo nadaiwa pesa ya king'amuzi.imebidi niiogope simu yake
kama mnajua atuna mbona mnatuomba???Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Sister hujamwelewa mtoa mada na hujui majanga tunayokumbana nayo wanaume wakati wa kutongoza.Kuna baadhi ya wanaume mnawadhalilisha sana wanaume wenzenu ambao wanajielewa mtu kuomba umsaidie sijui km anamaanisha amekuwa omba omba na wakat tunanduguzetu wengi wa kiume tunawapiga tafu sana tu
Kma hunaela tafuta ela na utapata tu Mungu atakusaidia ila mnatubully sana aisee vitu vingine ni vidogo mno na vya kawaida kabisa
Umeandika kwa simanzi 🤪 poleni banaSister hujamwelewa mtoa mada na hujui majanga tunayokumbana nayo wanaume wakati wa kutongoza.
Mtu anakuomba hela ila ukimwalika mahali kama kwenye mgahawa ku-spend time na ww hataki, kwenye chating anajibu sms kama unamfosi.. leo akiomba elf 20 ukimpa, kesho ataomba elf 15, kesho kutwa ataomba tena elf 30, Unapata feeling kama vile anakukomoa, hapo hata kama una million 90 kwenye account ukiombwa elf 10 lazma uje kuanzisha uzi jf
Mwanamke asipokupenda ni hasara sana sophy27
Heeee sasa unataka vya free of charge, havipogokama mnajua atuna mbona mnatumba???
Depal amadala to yeye Shida sio ninyi kuomba pesa, By nature sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.you have concluded everything,
It's a War between broke guys Vs slay queens.
Now I got the name of the war, thanks to you
tupeane bure jaman kwan izo mbususu mlinunua au mnazilipia kodi??Heeee sasa unataka vya free of charge, havipogo