Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Simu yako ni laki 980000 haya ila jua hili asilimia 60 kwenye mia walahi naapa wanaume niomba omba humu na pengine pia.
Just imagine mwanaume anakupigia simu babe naomba unitumie vocha unamtumia babe naomba unitumie nauli auhi unatuma babe nimekwama naomba elfu 25,000 naomba vocha ya 10 voda nusu na tigo nusu weeh kanifanya crdb au benki ya ujamaa .

Hapana aisee basi tuachane hivi nyie mamarioo unadhani mtu mwenye hela angekuwa yupo home sianaomba tu .

Eti wanawake ni omba omba sio kama nyie aisee na ukipata fulsa unaitumia kwa maana mwenzako ataitumia tu epuka kuchunuwa ewe mwanamke kwa sababu tuiadhibiwa kuzaa kwa uchungu tu iweje tunakubali kuwalea hadi wanaume??
Weeeeeeeh[emoji50][emoji50]
 
Wanaume tunazidi kupotea.
Kumbuka kwenye biblia Mungu alimwambia Nini Adam na Hawa aliambiwa Nini.
Mwanamke kapewa uzuri,umbo la kuvutia lakini hajaumbwa kutafuta.
mwanamke anatakiwa akae nyumbani apelekewe kila kitu.
Ndo maana sisi waislam tumeruhusiwa kuoa wake 4.kupunguza GAPE la wanawake ambao hawajaolewa na hawana vipato.
 
Mbona huko ulaya ndio zaidi, wenzetu maisha ni 50-50. Inabidi wanaume wa kitanzania waige lifestyle ya ulaya ili waweze kumudu maisha, otherwise wadada wa mjini wanakukausha wallet hivi hivi.
Mkuu Eli naelewa fika na ndio maana ulaya mtu kuanzisha mahusiano hovyo hovyo ni ngumu huwa wanaheshimu sana hili swala kwasababu wanaelewa shida ya 50/50 tofauti na huku

Huku unakuta mtu ana wanawake 04 na kuendelea sasa hapo unategemea nini hali yenyewe ndio hii kila mtu anavutia kwake

Yan kwakifupi mtu wa aina hii hajui thamani ya mahusiano, hajitambui na hayaheshimu mahusiano yenyewe.
 
Kuna baadhi ya wanaume mnawadhalilisha sana wanaume wenzenu ambao wanajielewa mtu kuomba umsaidie sijui km anamaanisha amekuwa omba omba na wakat tunanduguzetu wengi wa kiume tunawapiga tafu sana tu

Kma hunaela tafuta ela na utapata tu Mungu atakusaidia ila mnatubully sana aisee vitu vingine ni vidogo mno na vya kawaida kabisa
Tatizo hamuombi ila mnaomba omba...
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
😅😅😅 labda awe na kazi athawais unapangwa kuna mwenzio anatoa hvo vitu
 
[emoji23] Hivi mnajua sisi ndo tunawafanya mtafute Hela [emoji23]
Ni kweli kabisa

Hasa mkiwa na chura ...ni motivation tosha kwetu

Yaani Unauza nyumba ya wazee wako kijijini bila wao kujua ili imradi pesa ipatikane ...wakitimuliwa watasaidiwa na halmashauri


Kweli ukiachia pesa magari na nyumba ni wanawake [emoji39]

na mwaka huu lazima niamie singida au mahenge ulanga
 
Back
Top Bottom