Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii vita haiji kuisha.
Mbona huko ulaya ndio zaidi, wenzetu maisha ni 50-50. Inabidi wanaume wa kitanzania waige lifestyle ya ulaya ili waweze kumudu maisha, otherwise wadada wa mjini wanakukausha wallet hivi hivi.Aki Tanzania ina wanaume wabahili kitu kidogo tuu wanaanzisha uzi[emoji119]
Mi ni kama wewe,Nina wapenzi wengi wanaojulikana kuliko mmoja asiyejulikana ninaekula nae kweli.... 😉Nitakukula muda siyo mrefu shauri zako...
❤️utafulia mkuu,mi naomba hela balaa🤸To yeye krb
Naona domo zege unasaliti wanaume wenzio ili uonewe huruma na wanawake...Wakifanya kazi wana nyodo, mkiombwa na wasio na kazi mnawaita malaya.
Kama unayo msaidie kama huna kausha, jambo dogo kama hili sio la kuanzishia uzi.
Mi nimenyooka sana kama mtu simtaki namwambia na hela zake sichukui kabisa,, kama ni mtu wangu asipojiongeza, nakufaga na tabu zanguIla ni njia nzuri pia ya kumfukuza mwanaume ukimchoka,ukiomba sana hela anakimbia 🚴
Anakuambia kuwa kwani wewe ulikuwa unaishije kabla hujamtongoza mkuuUkimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Kukulana ndo unakosea,hakuna urafiki wa kukulana Wala kuchunanaUrafiki uwe na faida lakini...
Nichune, nikukune...
NdiwoooooooWakifanya kazi wana nyodo, mkiombwa na wasio na kazi mnawaita malaya.
Kama unayo msaidie kama huna kausha, jambo dogo kama hili sio la kuanzishia uzi.
Mi nahisi kuna shule watakuwa wanafundishwa, maana style yao almost wote inafanana...Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Sikumbuki kua na hao wapenzi wengi... Am loyal...Mi ni kama wewe,Nina wapenzi wengi wanaojulikana kuliko mmoja asiyejulikana ninaekula nae kweli.... 😉
Nataka mwenyewe unichune, nikiwa na akili zangu timamu...Kukulana ndo unakosea,hakuna urafiki wa kukulana Wala kuchunana
Sawa,usijekimbia🚴🚴🥵Nataka mwenyewe unichune, nikiwa na akili zangu timamu...