Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Sawa hali imekua ngumu, lakini sasa ndio nyie wanawake mtugeuze sisi wanaume kitega uchumi chenu. Badilikeni aisee, vinginevyo mtakosa wa kuwaoa kwa wanaume kuwaogopa
 
Wakuu Habari zenu!!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Bwana we ao mademu zako kukuomba nilazima,,ebu toa hii kitu apa
 
Back
Top Bottom