Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa unavutiwa maji marefu, ukijitela umezama
Wana hasira kumbe ndo maana😂😂😂Ha ha ha limewagusa eeh!
Kuna mwingine leo katoka kutusemea tunapeleka mashosti wakitutoa mtoko.
Mtupumzishe🤣🙌
Dada aliyewasema wachafu katema cheche za kutosha🤣
Sitaki kusaidiwa, nataka kuombwa hela na wewe...Hakika ninao wengi love,nataka wakupunguzie mzigo wa majukumu...wewe uwe unakula Bata tu...
Au nakosea🤔
Bwana we ao mademu zako kukuomba nilazima,,ebu toa hii kitu apaWakuu Habari zenu!!
Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.
UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.
Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??
UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Ushindwe na ulegee...Hakika inachekesha,maana anadanganya wazwaz....atakula kichwa Kwa mbinu hii🤸
[emoji23][emoji23]Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
🤣🤣🤣🤣Leo mnatunyoosha
My body is wright here, you can have it... Fanya kujisogeza...I need your body,sijui nakupataje😶 mbeya baridi aisee🥵
Ndio umeamua kumdhalilisha sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie arudi kwao,,,anapangaje chumba na hawezi kujimudu,
Nitakupata tu,we tulia.Rukaruka ivoivo🤜Ushindwe na ulegee...
Bora aseme nikuambie kitu naweza msikiliza, ila akianza na nikuombe kitu, basi kaumia 😂🤣🤣🤣🤣 Haka kaneno kanachekesha kweli, 🙌 Eti nikuambie kitu.
Nitakukula muda siyo mrefu shauri zako...Nitakupata tu,we tulia.Rukaruka ivoivo🤜
Wakiombwa wanakasirika🤣Bwana we ao mademu zako kukuomba nilazima,,ebu toa hii kitu apa
Nilishashindwa hata nijikaze vipi siwezi😂😂Kama huna changamoto yoyote usiombe cute,Zina masimango kede😏