Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Akikuomba kesho kakustili Leo jioni Sina vocha au na njaa
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Huna hoja tuliza ki...
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Huyu wangu haniombi ela na simtafuti akinitafuta na mletea kiburi ela na mpa navyojisikia

Sasa haw unfeture Hawa oh
 
Wakuu Habari zenu!!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Nawe acha kutongoza hovyo
 
Kweli women run the world, maana mnalalamika mnoo hata visivyo vya kulalamika.
hakuna omba omba anayeheshimika

Soma hii

 
Mtu ana mume wake,hamna uhusiano wowote, kutwa kukupiga vibomu.

Huko ni kujirahisisha, wanatafuta utongoze uwe msaidizi wa majukumu rasmi.
Itakuwa mna mahusiano mabaya yasiyo na heshima. Ukute unàmtania hovyo hovyo na kuflirt nae unategemea nini?
Wapo wanaojitongozesha lkn wanaangalia na mtu wa kujirahisisha kwake.
Na nyie muwe na heshima, mwanamke sio malaika.
 
Back
Top Bottom