Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you have concluded everything,The war between broke guys and slay queen (s) will never cease..
Na vita iendeleee 🤣
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...
mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.
1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.
2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
🤣🤣🤣🤣 Haka kaneno kanachekesha kweli, 🙌 Eti nikuambie kitu?🤣utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela
😂😂Mimi nilijua kampa kumbe hanaHela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Hili ni doa kubwa kwa huyo mama, mumewe na familia yake huenda mpaka ukoo wakeMkuu mfanyie ungwana, fanya uhide mobile number kwanza...
Kuna baadhi ya wanaume mnawadhalilisha sana wanaume wenzenu ambao wanajielewa mtu kuomba umsaidie sijui km anamaanisha amekuwa omba omba na wakat tunanduguzetu wengi wa kiume tunawapiga tafu sana tu
Kma hunaela tafuta ela na utapata tu Mungu atakusaidia ila mnatubully sana aisee vitu vingine ni vidogo mno na vya kawaida kabisa
🤣Umeniweza!Sawa nimekubali, hiyo mimba ni yangu...
Umemuelewa mleta madaThe war between broke guys and slay queen (s) will never cease..
Na vita iendeleee 🤣
Chochote unachotakana kusema ndiyo nimekubali...🤣Umeniweza!