Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Ha ha ha limewagusa eeh!
Kuna mwingine leo katoka kutusemea tunapeleka mashosti wakitutoa mtoko.
Mtupumzishe[emoji1787][emoji119]
Dada aliyewasema wachafu katema cheche za kutosha[emoji1787]
Umefurahi mwenyew yaani mpka cm umeweka chini ucheke vzr sio
 
IMG_0549.jpg

IMG_0548.jpg
 
Itakuwa mna mahusiano mabaya yasiyo na heshima. Ukute unàmtania hovyo hovyo na kuflirt nae unategemea nini?
Wapo wanaojitongozesha lkn wanaangalia na mtu wa kujirahisisha kwake.
Na nyie muwe na heshima, mwanamke sio malaika.
Kwa sababu mimi me, huenda nina experience ya hili, si watsap, si mtaani hii hali ipo wengine wala hakuna mazoea hayo kiviiiile lakini wanajisogeza.

Asilimia kubwa siku hizi wadada/wamama wanajiuza wengine sio official, unamkuta na kiofisi chake cha msosi lakini ni muuzaji.
 
Back
Top Bottom