Ni aibu sana wanawake yunajidhalilisha sana..... Sa hv nishaona mdada Kazi anayo lkn kuomba omba kuko pale pale ni aibu sana aiseh

huwa mnakwama wapi? yaani pesa yenu sio tamu au vipi?
 

hahaha safi sana jiulize kabla ya wewe alikuwa anamuomba nani pesa ya kifurushi[emoji23][emoji23] yaani wanawake
 

Wanawak wote akili zao moja tu ndo maana hawajui kushauliana utasikia anamwambia mwanamke nenda ila utajua mwenyewe[emoji23][emoji23] sasa ndo nini
 

umeongea ukwel kabisa[emoji122][emoji122]
 
Hakika mkuu
 

nitoe matumizi kama nani? kama mke wangu sawa ntakupa ila tumekutana mtaani tu nikupe matumizi weee umesikua wapi
 
Ila wanaume jf mnapenda kulalamika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

nyie je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…