Kinachoponza wanawake ni kutaka kuishi maisha yanayozidi kipato chake. Na kinachoponza wanaume ni kutaka mwanamke bila kumhudumia,,kila mtu acheze viwanja vyake na Kila mtu ashinde mechi zake hakuna atakaekuwa analalamika hivi Kila siku
 
Sawa kabisa Joseverest
 
Kinachoponza wanawake ni kutaka kuishi maisha yanayozidi kipato chake. Na kinachoponza wanaume ni kutaka mwanamke bila kumhudumia,,kila mtu acheze viwanja vyake na Kila mtu ashinde mechi zake hakuna atakaekuwa analalamika hivi Kila siku
Hizo kauli zinanikwaza Sana "bila kuhudumia" sasa nakuhudumia wewe kwa misingi ya kunipa K? Au kuna lingine?

Ile Starehe NI wote sasa inakuwaje mwanaume ndo ahudumie? Mmejilemaza sana bila Wanaume, mwanamke awezi kitu maishani mwake

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…