Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hii bato ingekua live..Eeeh anaongea haraka haraka sana halafu Kwa jazba,wakati tunayajenga๐๐
Hahahahaha..we kiboko..uko vzr naona angle hiyoNgoja niwaelimisha wataelewa tu faida ya kutupa Hela wabebez
Napenda sana ubongo wako upo sharp kuelewa mambo,jamani muelewe maana ya "Mtu wa maana"Ndio maana wazazi huwaga wana wasisitiza mabinti zao "wawaletee mtu wa maana........".Mtu wa maana sio kwamba labda mcha Mungu au mwenye tabia nzuri bali mwenye HELA
Dah hii ingekuwa live huyo jamaa angenichapa makofi aseee๐Hii bato ingekua live..
Face to face...
Sipati picha mtu pressure 456mmhg ๐๐๐๐๐
Mtaua watu jamen๐๐๐
Mimi ni sauti ya wengi, wengine wanaona tu aibu kusema,wapo humu nawaonaga wanasema hawapendi Pesa,,,,USIAMINI hata mwanadada Mmoja akikwambia hivyo anakufa na tai shingoni๐ ๐ ๐Hahahahaha..we kiboko..uko vzr naona angle hiyo
๐๐๐๐Aloooh weeehNapenda sana ubongo wako upo sharp kuelewa mambo,jamani muelewe maana ya "Mtu wa maana"
Yaaani ungejuta wewe.....Dah hii ingekuwa live huyo jamaa angenichapa makofi aseee๐
Hahahahaha..sawa sawa msema kweli kipenzi cha MunguMimi ni sauti ya wengi, wengine wanaona tu aibu kusema,wapo humu nawaonaga wanasema hawapendi Pesa,,,,USIAMINI hata mwanadada Mmoja akikwambia hivyo anakufa na tai shingoni๐ ๐ ๐
๐ ๐ ๐ Angenionea Bure tu....huo ndio utaratibu uliowekwa na Mungu mwenyeweYaaani ungejuta wewe.....
๐๐๐๐๐๐๐
Kuanzia ww na wote wanaokusapot ๐๐๐๐
In Magufuli voice๐Hahahahaha..sawa sawa msema kweli kipenzi cha Mungu
Hahahahaha..nasema uongo Rafiki?In Magufuli voice๐
Ajabu hata kupiga sijui/kukalipa sijui piaDah hii ingekuwa live huyo jamaa angenichapa makofi aseee๐
Ukitoa una offer niniNinazo za kunitosha kuishi ila za kupewa pia nazitaka
Hapa umesema kweli. Upendo wa kweli, huambatana na utoaji ndio kanuni ipo hivyo.Mwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Asante kaka!wewe lazima ni matured na mwelewa sana...Hapa umesema kweli. Upendo wa kweli, huambatana na utoaji ndio kanuni ipo hivyo.
We kukuripia hujui wapi wewe,check hapo ulivyonifokea,live ningejuta ๐ ๐Ajabu hata kupiga sijui/kukalipa sijui pia
Yaan ulivyonielewa na nilivyo ni tofaaaautii๐๐
By the way nielewe tu
Afu laki 3 ndio la kawaida kabisa [emoji1787]