Eeeh anaongea haraka haraka sana halafu Kwa jazba,wakati tunayajenga๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hii bato ingekua live..
Face to face...
Sipati picha mtu pressure 456mmhg ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mtaua watu jamen๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Dah hii ingekuwa live huyo jamaa angenichapa makofi aseee๐Ÿ˜…
Yaaani ungejuta wewe.....
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuanzia ww na wote wanaokusapot ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mimi ni sauti ya wengi, wengine wanaona tu aibu kusema,wapo humu nawaonaga wanasema hawapendi Pesa,,,,USIAMINI hata mwanadada Mmoja akikwambia hivyo anakufa na tai shingoni๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hahahahaha..sawa sawa msema kweli kipenzi cha Mungu
 
Yaaani ungejuta wewe.....
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuanzia ww na wote wanaokusapot ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Angenionea Bure tu....huo ndio utaratibu uliowekwa na Mungu mwenyewe
 
Dah hii ingekuwa live huyo jamaa angenichapa makofi aseee๐Ÿ˜…
Ajabu hata kupiga sijui/kukalipa sijui pia
Yaan ulivyonielewa na nilivyo ni tofaaaautii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
By the way nielewe tu
 
Ajabu hata kupiga sijui/kukalipa sijui pia
Yaan ulivyonielewa na nilivyo ni tofaaaautii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
By the way nielewe tu
We kukuripia hujui wapi wewe,check hapo ulivyonifokea,live ningejuta ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ