Hivi mpare wangu uko wapi Leo?maana mchezo na Hela ndio ulishakataa ERoni na Mimi ndio mbele kama tai ,Sa itakuajeπŸ™†πŸ™†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umenichekesha sana legend. Hela na iheshimiwe na kila mtu.
 
Kutoa hela sio shida kama zipo.

Tatizo ni Mwanamke hata hamjafahamiana vizuri ashaanza kukuomba hela au kutangaza shida zake.

Hapo mwanaume inabidi ubadili mbinu maana unadili na muuzaji.

Kwa sisi wanawake kukuomba hela ni part ya kufahamiana pia [emoji23][emoji23]
 
Kwa sisi wanawake kukuomba hela ni part ya kufahamiana pia [emoji23][emoji23]
Kuna dada aliniacha hoi,yaani Kakutana na Mtu hawajamaliza hata wiki,akaomba laki Tano,ni dada anafanya kazi nzuri tu,nikaanza mcheka nikamwambia aisee umezidisha mbona ghafla sana,akajibu wewe huwajui Hawa,akishakuzoe keshakuonjaonja ndio hakupi kabisaaa,Bora ukiwa mpya bado wanakuwa na moto....nikanyoosha mikono juu
 
Umenichekesha sana legend. Hela na iheshimiwe na kila mtu.
🀣🀣🀣🀣Sasa si ndio unaweka heshima legend,yaani muamala ukisoma unakuwa unaheshimika muamala na mwenye muamala wake
 
🀣🀣🀣🀣Sasa si ndio unaweka heshima legend,yaani muamala ukisoma unakuwa unaheshimika muamala na mwenye muamala wake
Hela zina kazi nyingi sana mama, haitolewi kizembe, hadi nione "value for money"! Lakini sitoi ili kubadilishana na papa, huwa sinunui direct🀣
 
Hela zina kazi nyingi sana mama, haitolewi kizembe, hadi nione "value for money"! Lakini sitoi ili kubadilishana na papa, huwa sinunui direct🀣
Hapana,Kuna tofauti ya kununua direct,na kumpa mpenzioooπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 

Ila ni kweli sema ndio inabidi uwe jasiri kutanguliza njaa mbele
 
Haya mahusiano kwa kweli hayakuwa na tija kwangu. Nikitaka K nalipia yeye akitaka MBO_ o Nalipia. Yaani napigwa ndani nje. Sikuona faida. Binti nimemfahamu ndani ya siku mbili tu tayari anaanza kunipiga vibomu.

Mara anaumwa, mara mama yake anaumwa. Jana ananiambia mtoto wake anaumwa. Yaani akipiga simu akisema bebi kuna jambo nataka kukwambia. Namuuliza una shida ya pesa si ndiyo? Anajibu.... Heeeeh bebi umejuaje? Kweli sisi tunapendana.

Huyu dem kapewa sura na umbo. Akili. Nada. Hamna kabisa. Huwa nikishamaliza najikuta sina cha kuongea naye. Anaanza tu kuongea upuuzi. Inabidi nimpige tena mashine. Ili wote tuchoke tulale au niondoke.

Leo rasmi nimevunja naye mahusiano. Kanitukana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…