Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Kutokana na changamoto za ajira n.k, mwanaume amekuwa akibebeshwa mzigo mzito wa punda kwa kisingizio cha kudumisha mapenzi.

Je, unapambana vipi na mwanamke anaye omba omba hela kwa kisingizio cha kukupa mapenzi?
  • Yeye kila kitu ni kuomba omba hela;​
  • Ukitaka akufariji, yeye anataka hela​
  • Ukitaka akupe tendo yeye anataka hela​
  • Ukitaka mtoke 'out', yeye anataka hela​
  • Ukitaka m-'chat', yeye anataka hela​
  • Ukitaka akuite kimapenzi, yeye anataka hela​
  • Awe na hisia na wewe, yeye anataka hela kwanza​

Na mtu wa namna hii, unamchukuliaje katika mahusiano yako?​
Huna hizo hela wanawake wanakutunza tu huna sera
 
Kutokana na changamoto za ajira n.k, mwanaume amekuwa akibebeshwa mzigo mzito wa punda kwa kisingizio cha kudumisha mapenzi.

Je, unapambana vipi na mwanamke anaye omba omba hela kwa kisingizio cha kukupa mapenzi?
  • Yeye kila kitu ni kuomba omba hela;​
  • Ukitaka akufariji, yeye anataka hela​
  • Ukitaka akupe tendo yeye anataka hela​
  • Ukitaka mtoke 'out', yeye anataka hela​
  • Ukitaka m-'chat', yeye anataka hela​
  • Ukitaka akuite kimapenzi, yeye anataka hela​
  • Awe na hisia na wewe, yeye anataka hela kwanza​

Na mtu wa namna hii, unamchukuliaje katika mahusiano yako?​
Si tulikubaliana iwe Siri Jamani 😅😅mambo gani sasa haya
 
Back
Top Bottom