Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha haYah au kam kuna sms nyingine alituma inatakiwa kujibu ambayo sio ya pesa unaijibu iyo af ile ya pesa kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha haYah au kam kuna sms nyingine alituma inatakiwa kujibu ambayo sio ya pesa unaijibu iyo af ile ya pesa kimya
😅😅😅Baba huyu hana kaba Shingo
Nipo kwa mangi hapa napata lubisi 😀Si tulikubaliana iwe Siri Jamani 😅😅mambo gani sasa haya
anakuja kutupa muongozo 🙂Mpenda mawe
Ndo maana mimi nimeamua kufanya Biashara zangu mwenyewe. Wanaume siku hizi 😅😅😅Umewahi mpa hata Mara moja mkuu?
Nadhani hicho kingekuwa kilimo tosha kuwa huyo ni ombaomba au katindikiwa basi anahitaji msaada kutoka kwa mtu anayeamini wapo safari moja!
Umekomaa kama yale masufuria ya uchaganiMwingine huyu hapa
Baba wewe 😅Nipo kwa mangi hapa napata lubisi 😀
Ungemjibu nawe uwe na tako sura titiKuna kauli moja nilishawahi kupewa ilikuwa imekaa kibabe sana niliambiwa hivi
"Ukiwa namimi sitaki uniambie hauna hela!".
Halafu ubaya penzi sikulifata!, yeye mwenyewe ndo alilitafuta!, baada ya hiyo kauli sidhani hata kama tulimaliza wiki ikaja kauli nyengine ambayo ndo ilikuwa yamwisho ati "Kumbe we ni kijana wa hovyo hivi!"... 🤣
nahisi hivi viumbe vilitokea jupiter kama sio Saturn!.
Inabidi ndege wafananao waruke pamoja; wakutane wote wawe omba ombaUmewahi mpa hata Mara moja mkuu?
Nadhani hicho kingekuwa kilimo tosha kuwa huyo ni ombaomba au katindikiwa basi anahitaji msaada kutoka kwa mtu anayeamini wapo safari moja!
Nafuu wewe ni siku hiziiNdo maana mimi nimeamua kufanya Biashara zangu mwenyewe. Wanaume siku hizi 😅😅😅
Lakini ndio wanakuwaga na tako titi na sura.Mwanamke anayeomba pesa sana Hana upendo wa kweli...
Hafai hata kwa kulumangia...
Hawa ukiwaweka ndani, migogoro haiishiUpigwe TU atafutwe mtu mwinginee wa kuchunwa
Pesa za wanaume Chungu siku hizi, na ukipewa hiyo Pesa lazima kichwa kiingizwe uvunguni😅Nafuu wewe ni siku hizii
Kwa hela zipiLakini ndio wanakuwaga na tako titi na sura.
Hawa wasio omba hela sura ngumu kuliko kaukau
Hawa ni wachukua nyota hawana inshuu yeyotePesa za wanaume Chungu siku hizi, na ukipewa hiyo Pesa lazima kichwa kiingizwe uvunguni😅
Eeh saka hela yako uone wanaume wote manyani tuu ambayo hayana faidi maishani mwako. Uyatumie utakavyoNdo maana mimi nimeamua kufanya Biashara zangu mwenyewe. Wanaume siku hizi 😅😅😅
wachaga rahisi sana kukumaliza mkuu nisingekuwa hapa nakomenti kama ningemjibu hivyo... nilimjibu kimatendo tu ndo maana akajibu hivyo...🤣Ungemjibu nawe uwe na tako sura titi