Safi kabisa maana sisi vidume 2025 hatudate broke ladies.Na ndo safari imeanza hivo 😅😅😅hadi Mwaka uishe Nataka niwe na Mkwanja wa kutosha.
Demu lazi.a aweze kujipeleka sauz kwa hela yake ndio tunadate nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa maana sisi vidume 2025 hatudate broke ladies.Na ndo safari imeanza hivo 😅😅😅hadi Mwaka uishe Nataka niwe na Mkwanja wa kutosha.
Hii nimeielewa, kwamba akiomba 10k mpe 2k na odds 5Akiomba 10k
Mwambie nipe kwanza wewe hio 10k me nikupe 20k
...
Au mpe 2k mpe na odds 5 achangamshe akili kwa kanji
Wewe kaika za kwako naomba valentine nikupe demuMpaka ziwepo sasa ambazo hazina majukumu
Safi sana hiyo jukumu lako mke ni kumsusia mumeo mbususu. Hongera kwa kutekeleza majuku.u yako 100%Nampa hadi anaziraa
Ukiwa bwege mtozeni utapelekeshwa sana tu, kwani huyo ombaomba ukimpiga chini unakosa kitu gani. Vijana wa siku hizi mnasikitisha sana, ukiwa desperate kana kwamba oxygen unayopumua huyo ombaomba ndiyo anaimiliki utapelekeshwa nginjanginja hadi utajuta.Kutokana na changamoto za ajira n.k, mwanaume amekuwa akibebeshwa mzigo mzito wa punda kwa kisingizio cha kudumisha mapenzi.
Je, unapambana vipi na mwanamke anaye omba omba hela kwa kisingizio cha kukupa mapenzi?
Yeye kila kitu ni kuomba omba hela; Ukitaka akufariji, yeye anataka hela Ukitaka akupe tendo yeye anataka hela Ukitaka mtoke 'out', yeye anataka hela Ukitaka m-'chat', yeye anataka hela Ukitaka akuite kimapenzi, yeye anataka hela Awe na hisia na wewe, yeye anataka hela kwanza
Na mtu wa namna hii, unamchukuliaje katika mahusiano yako?
Weeeee! 😅😅😅🙌🏼Ila huyu mzuri bado anakaushamba usimkatalie kubali anatoa hela nzuri ya ntaji
Fanya vetting kabla ya kumtongoza demu. Hakikisha unatengeneza circle na mademu wenye kazi na sio watu wa extravaganda lifestyle.Kutokana na changamoto za ajira n.k, mwanaume amekuwa akibebeshwa mzigo mzito wa punda kwa kisingizio cha kudumisha mapenzi.
Je, unapambana vipi na mwanamke anaye omba omba hela kwa kisingizio cha kukupa mapenzi?
Yeye kila kitu ni kuomba omba hela; Ukitaka akufariji, yeye anataka hela Ukitaka akupe tendo yeye anataka hela Ukitaka mtoke 'out', yeye anataka hela Ukitaka m-'chat', yeye anataka hela Ukitaka akuite kimapenzi, yeye anataka hela Awe na hisia na wewe, yeye anataka hela kwanza
Na mtu wa namna hii, unamchukuliaje katika mahusiano yako?
Mkuu makutupora sanamu la huyu binti lijengwe wapi?Mwanamke anayeomba pesa sana Hana upendo wa kweli...
Hafai hata kwa kulumangia...
Ya kule yanaishia kule kuleNaogopa utakuja kuniandikia uzi 😅😅
haombi ombi hela? 😀 😀Wewe kaika za kwako naomba valentine nikupe demu
Kama mwanaume hana hela na mwanamke hana hela kivipi useme mwanamke anamtunza mwanaume?Huna hizo hela wanawake wanakutunza tu huna sera
Ni kutafuta mbadala wake tuMawili ama upambane na hustling au ujisajili CHAWABATA
Hapo anakuwa amekutua gunia la misumari, kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.Ukimwambia huna, unapigwa chini
Jamaniii huyu ghorofa lake lijengewee ikulu kabisa.Mkuu makutupora sanamu la huyu binti lijengwe wapi?
Inasikitisha sanaKuna wanawake ni omba omba sana kama taifa fulani hivi ad trump kalishtukia.
Ombeni kwa kiasi sio kila saa kama mnafanya kazi za malipo ya saa.