Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ndio mana huwa nasema wanaume kuna mahala mnatofautiana. Na Hamisa yule haombi elfu mbili mbili hizi zinazowafanya watu wanalalamika humu kila leo yule lazima kizinga chake ni hela ndefu na bado kapata mume. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.Mbona mobeto anaolewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]