Wengine tuna nyota za bundi mwanaume hawezi kutoa hata hela ya soda [emoji23]
Nyie bwana sasa kila wanaume wabaya mnakutana nao nyie. Wabahiri nyie wanuka pumbuz nyie tdh but wagegedaji tuu nyie loh! Mkakoge bahari mtoe gundu au njoo kwangu. Utaburudika hela ya soda wine kuku salon 50k utapata na mbupuz hazinuki😜
Wee muhimu nisusie mbususu
 
Kuna mmoja mimi aliniomba hela ya umeme, mara anakufa njaa, siku nikakatoa out eti kanasema hakanywagi bia kanakunywa desperado pekee, siku moja akasahau akaposti status whatsapp akiwa na wenzake na ma bia yao, nikakauliza desperado iko wapi??
 
Chai
 
Kuna mmoja mimi aliniomba hela ya umeme, mara anakufa njaa, siku nikakatoa out eti kanasema hakanywagi bia kanakunywa desperado pekee, siku moja akasahau akaposti status whatsapp akiwa na wenzake na ma bia yao, nikakauliza desperado iko wapi??
🤣🤣🤣🤣🤣 Akajibuje
 
hawa viumbe ni hatari sana, yani leo hata sijaamka vizuri nimepokea simu kuna mpuuzi anaomba 50k bila ya hata aibu
 
Wengine tuna nyota za bundi mwanaume hawezi kutoa hata hela ya soda [emoji23]
Inategemea na kipato cha huyo mwanaume, jinsi alivokupenda, hulka yake, uzoefu wake kwenye mahusiano yaliyopita, na jinsi unavom-treat,

Huwezi ni-treat kama nyani, unanijibu kunya halafu nikupe hela ya lunch, kama mbuzi mmoja juzi alinjibu vibaya ilhali sijawahi mkosea, baada ya dk 3 ananiomba hela ya lunch

Sijui alinionaje mbwa yule 😅 Kelsea
 
Fanya research zako zooote Kisha utakuja kukubaliana namimi.

Wengi wa wanaume walio firisika % kubwa wanawake vimeo wauza uchi walihusika pakubwa sana.

Wengi wa wanaume walio anguka iwe kazini kiuchumi nk wasababishi ni wanawake.

Ni mara chache sana mwanaume kufirisiwa na mwanaume mwenzake labda atapeliwe tu na hii kwenye kumi utakuta mmoja wawili ama hamna kabisa.


Sihitaji kuandika mengi ukweli ndo huo.

NB: MWANAUME UKIPENDA CHUPI ANGUKO LAKO LIPO MLANGONI.
 
Unaniuliza Mimi Au Unaniambia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…