Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamia ya mapunjeSorry[emoji23]
Hadi lijae gunia inabidi ziwe punje ngapi[emoji23]
😂🤣 una kichaa eehHao sii ndio easy target bwana wewe...kila mtu anatafuta unafuu hapa duniani🤣🤣🤣🤣
Alafu unaona mlivyo na roho mbaya, hamtaki wenzenu wenye sura pesono watongozwe.
Sasa ndio hapo tunapo wanyima. Yaani tunakuwa wagumu kutoa hela.😂🤣 una kichaa eeh
Hata wao now days wamekuwa wajanja pia wanataka hela msiwachukulie poa
Tuelezane ukweli jameni.
Wee utampa hela mwanamke ng'ong'ozo?
Vile vile mwanamke ata mpa mbususu mwanaume mwenye hela
Una safari ndefu sana[emoji23]Mamia ya mapunje
Kuna mmoja kajisifia anahonga hela, ila ajabu aliachwa na mtu wa humuWatakuja kulia vibaya sana wambie
Kamsaidie mkeoNi sahihi mwanaume kumuhudumia mwanamke, kwasababu kazi nyingi huwa zinamfavor sana mwanamme, ni kazi chache sana anazoweza kuzifanya mwanamke akapata pesa ukilinganisha na mwanamme.
Kingine pia umesema tumepewa viungo sawa! hauko sahihi.. mwanaume na mwanamke hawako sawa kibaiolojia nadhani umenielewa
Ni wajibu wa mwanaume kumuhudumia mwanamke mkuu
Aisee...The war between broke guys and slay queen (s) will never cease..
Na vita iendeleee 🤣
Sijaenda jeshi kwahiyo nimefeli maisha au?
Ni kosa kubwa[emoji41]View attachment 2299678
Kuna mmoja kajisifia anahonga hela, ila ajabu aliachwa na mtu wa humu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app