Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Hao sii ndio easy target bwana wewe...kila mtu anatafuta unafuu hapa duniani🤣🤣🤣🤣

Alafu unaona mlivyo na roho mbaya, hamtaki wenzenu wenye sura pesono watongozwe.
😂🤣 una kichaa eeh

Hata wao now days wamekuwa wajanja pia wanataka hela msiwachukulie poa
 
😂🤣 una kichaa eeh

Hata wao now days wamekuwa wajanja pia wanataka hela msiwachukulie poa
Sasa ndio hapo tunapo wanyima. Yaani tunakuwa wagumu kutoa hela.

Ni kama nyi mnavyokuwa wagumu kutuoa mbususu kwa wanaume ambao hawana hela.
Ata kiwango cha wetness ya mbusus ya mwanamke inaenda na amount ya hela mwanaume anatoa
 
Tuelezane ukweli jameni.
Wee utampa hela mwanamke ng'ong'ozo?
Vile vile mwanamke ata mpa mbususu mwanaume mwenye hela

kweli kabisa... demu mbaya, mbovu kila Kona afu unaomba hela ya nini?

sema mimi pesa sitoi ata uwe Mzuri vipi.. hiyo pesa naweka kibubu najua nikija kufanya tathimini nitajua ningepoteza kiasi gani cha pesa
 
Ni kosa kubwa[emoji41]
IMG_20220722_120044.jpg
 
Ni sahihi mwanaume kumuhudumia mwanamke, kwasababu kazi nyingi huwa zinamfavor sana mwanamme, ni kazi chache sana anazoweza kuzifanya mwanamke akapata pesa ukilinganisha na mwanamme.

Kingine pia umesema tumepewa viungo sawa! hauko sahihi.. mwanaume na mwanamke hawako sawa kibaiolojia nadhani umenielewa

Ni wajibu wa mwanaume kumuhudumia mwanamke mkuu
Kamsaidie mkeo
Kama hauna kamsaidie dada ako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom