Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Nyie kwani hamwezi kuzitafuta zenu mkaona zinaingia tuu?
Yule to yeye buku tano aliumia wiki nzima sasa kweli mnataka tuwapende
Zetu zipo.. ila zinaingia kwa tarehe… na zikiingia sijui zinaendaga wapi, week ya pili tu zinapepea…

Buku5 Imefanyaje 🤣
Mm zikiwepo nasaidia sana tu…
 
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
Ni hao wanawake wako wenye njaa next time anza n neno "baadhi" wewe kama unaasociate na cheap women means u r also cheap...upgrade n associate na carrier women
 
kweli kabisa... demu mbaya, mbovu kila Kona afu unaomba hela ya nini?

sema mimi pesa sitoi ata uwe Mzuri vipi.. hiyo pesa naweka kibubu najua nikija kufanya tathimini nitajua ningepoteza kiasi gani cha pesa
Wee kuna pisi kali yaani wee mwenye unafurahia kuspend juu yake.
 
Zetu zipo.. ila zinaingia kwa tarehe… na zikiingia sijui zinaendaga wapi, week ya pili tu zinapepea…

Buku5 Imefanyaje 🤣
Mm zikiwepo nasaidia sana tu…
Kwani zetu ndio zinadumu mpaka mwisho wa mwezi...acheni hizo bwana tutaishia kuwabatua tuu na kuwatia mimba maana inafika sehemu wenyewe mnahitani kuwa na mtoto
 
Back
Top Bottom