myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Duh!!!Ni kosa kubwa[emoji41]View attachment 2299678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!!Ni kosa kubwa[emoji41]View attachment 2299678
Bitter truth 🥺[emoji23][emoji23][emoji23] ndo hapo sasa... wanawake ni kama Bank wanatamani kuona muda wote pesa inaingia tu kwenye account yake
🤣🤣🤣🤣Ni kosa kubwa[emoji41]View attachment 2299678
Mbususu utaisikia kwa jf tuuNi kosa kubwa[emoji41]View attachment 2299678
Emoj gani mkuu🤣Ogopa sana hii emoji [emoji3064]
Kimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio,[emoji16][emoji16] eti eeh so wanaume ni ATM
Usiwafundishe tabia mbayaSio,
Ukiombwa usiseme sina pesa,,,sema kuna mchongo nasikilizia ukitik nitakuwezesha[emoji23]
Nyie kwani hamwezi kuzitafuta zenu mkaona zinaingia tuu?Bitter truth 🥺
Mh kuonga now mimi nisimamisha kwaza nilikuwa nipo ladhi nikope hela ni mpe yeye kilichonikuta hapana ase kumbe unampa hela na yeye anaenda kuongaKuna mmoja kajisifia anahonga hela, ila ajabu aliachwa na mtu wa humu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nyie hamtakagi wanaume wanaosikilizia mchongoSio,
Ukiombwa usiseme sina pesa,,,sema kuna mchongo nasikilizia ukitik nitakuwezesha[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiwafundishe tabia mbaya
Inategemea unajieleza vipi,Nyie hamtakagi wanaume wanaosikilizia mchongo
Tantalila tuu hizi nyumba ya keyboard lakini uhalisia mwanaume usipokuwa na hela hakuna mwanamke atakutafutaInategemea unajieleza vipi,
Inabidi ujiamini.
Zetu zipo.. ila zinaingia kwa tarehe… na zikiingia sijui zinaendaga wapi, week ya pili tu zinapepea…Nyie kwani hamwezi kuzitafuta zenu mkaona zinaingia tuu?
Yule to yeye buku tano aliumia wiki nzima sasa kweli mnataka tuwapende
Ni hao wanawake wako wenye njaa next time anza n neno "baadhi" wewe kama unaasociate na cheap women means u r also cheap...upgrade n associate na carrier womenWakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.
UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.
Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??
UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
Wee kuna pisi kali yaani wee mwenye unafurahia kuspend juu yake.kweli kabisa... demu mbaya, mbovu kila Kona afu unaomba hela ya nini?
sema mimi pesa sitoi ata uwe Mzuri vipi.. hiyo pesa naweka kibubu najua nikija kufanya tathimini nitajua ningepoteza kiasi gani cha pesa
Kwani zetu ndio zinadumu mpaka mwisho wa mwezi...acheni hizo bwana tutaishia kuwabatua tuu na kuwatia mimba maana inafika sehemu wenyewe mnahitani kuwa na mtotoZetu zipo.. ila zinaingia kwa tarehe… na zikiingia sijui zinaendaga wapi, week ya pili tu zinapepea…
Buku5 Imefanyaje 🤣
Mm zikiwepo nasaidia sana tu…
SawaKwani zetu ndio zinadumu mpaka mwisho wa mwezi...acheni hizo bwana tutaishia kuwabatua tuu na kuwatia mimba maana inafika sehemu wenyewe mnahitani kuwa na mtoto