Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta

Akili kumkichwa
Kwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieee
 
Uchi umegongwa kishenzi mpaka umekata tamaa
Ndio maana mimi suala la kuhudumia malaya nilishalikataa.

Manzi kashatumika sana K mpaka imekata tamaa kwa mileages iliyoenda

Kuna wajinga wanamhudumia. Na hapo ukishika simu yake utaona wajinga wengi wanavyopangwa na malaya wakishare K na kumhudumia
 
Navyopenda my wangu apendeze, chochote kinachopita mbele yangu nikikipemda namnunulia.
Wanaume mniokoe hii sio tabia yangu kabisa.. Kuna jambo itakua
Kuna wahuni wasio penda maendeleo watakuja kusema lipia tangazo[emoji16]
 
Niko hapa nasoma comments
1711388618068.jpg
 
Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta

Akili kumkichwa
Sina hela za kuchezea.
 
Back
Top Bottom