The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Na mwanamke anaekupenda hakuombi helaMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwanamke anaekupenda hakuombi helaMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Na akikuomba hela ujue anampelekea mama mkwe wake.Na mwanamke anaekupenda hakuombi hela
Hizi umetunga weweMethal nyingi zishakua outdated mbaya..
- pole pole ndio mwendo :UTAUMIA
- aliyejuu mngoje chini :UTANGOJA SANA
- Haraka haraka haina baraka 😀EADLINE
Kwahiyo huamini kuwa hizo ni methali za wahenga?Hizi umetunga wewe
Aah wapi,namuomba sana,sema akikwama akisema Hana namuelewa fasta kuliko zamwamwaNa mwanamke anaekupenda hakuombi hela
Kwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieeeFaida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Najua ni methali,ila umezi editKwahiyo huamini kuwa hizo ni methali za wahenga?
Wakuu nisaidieni.
🤣🤣🤣🤣ChangamkaKwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieee
Ndio maana mimi suala la kuhudumia malaya nilishalikataa.Uchi umegongwa kishenzi mpaka umekata tamaa
Ndio mkuu, bidhaa mkononi muda wote popote.
Haibiwi mtu hapa...ngashtukaa!!!
Kwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieee
Tofauti iko kubwa sana, na hapa niseme ndipo wadada mnapo jichanganya na kupoteza potential mans sababu mna wa treat all the same. A man mwenye future na ww aki nusa hizi tabia, wala haagi, anayeyukaHamna tofauti maana wote wanatumia noti kuhakikisha wanapata gudgud
Kuna wahuni wasio penda maendeleo watakuja kusema lipia tangazo[emoji16]Navyopenda my wangu apendeze, chochote kinachopita mbele yangu nikikipemda namnunulia.
Wanaume mniokoe hii sio tabia yangu kabisa.. Kuna jambo itakua
Muoga wa wanawake huyu so huyo mmoja aliyenae ninkala ngekewq anamuona na anaogopa kuachwaKuna wahuni wasio penda maendeleo watakuja kusema lipia tangazo[emoji16]
Huyo ni wale walioshikiwa akili na wanawake.Mwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Ajiongeze kwani Wewe ni Mlemavu?Kuna wanaume hawajiongezi kabisaa yaani,sijui tatizo Nini!🤔
Sina hela za kuchezea.Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Hii imekaa sawa sawia.MAHUSIANO SIO SEHEMU YA KUINGIZA KIPATO