Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Wee mrembo Abaya gani tena? Unani konfyuzi na kunichambua kama karanga 😂
View attachment 2945657

Kuhusu wigi la 300k no comment hapo najisachi 🏃‍♂️
Sikukuu ya Iddi iko mbioni kufika, nina mtoko wa kuanzia breakfast hadi dinner Hyatt na mashost zangu lazima tudress theme ya Idd, hakuna kuungua na jiko kila sikukuu bwana mara moja moja tupake henna tugonge 🥂

Mind you, I’m not a Muslim. Making it worse??! 🤣
 
Ngoja niwaelimisha wataelewa tu faida ya kutupa Hela wabebez
Sisi wanaume tunapenda kuwapa hela, ila tatizo mnatuomba hela halafu papuchi hamtaki kutoa, so mwanaume unakuwa unajiskia kama unatumika, mngekua mnatuomba dushe kama mnavotuomba hela, izi thread za malalamiko msingeziona humu Joannah Mzigua90
 
Binafsi kuna mda pesa yangu ina kua na mambo mengi kiasi kwamba una shindwa kumsaidia omba omba ata kama una tamani kumsaidia, ila tatizo lina kuja pale omba omba anapo hisi kanyimwa yani ana nuna utazani pesa yake [emoji28][emoji28]

Omba omba uhisi kama kupewa pesa ni haki yao na lazima [emoji81]
Pamoja.
 
Sikukuu ya Iddi iko mbioni kufika, nina mtoko wa kuanzia breakfast hadi dinner Hyatt na mashost zangu lazima tudress theme ya Idd, hakuna kuungua na jiko kila sikukuu bwana mara moja moja tupake henna tugonge 🥂

Mind you, I’m not a Muslim. Making it worse??! 🤣
Umetoa location 😂😂, nkiwavamia kuwapiga telo ohoo 🔫 mana mtakua loaded!
 
Sisi wanaume tunapenda kuwapa hela, ila tatizo mnatuomba hela halafu papuchi hamtaki kutoa, so mwanaume unakuwa unajiskia kama unatumika, mngekua mnatuomba dushe kama mnavotuomba hela, izi thread za malalamiko msingeziona humu Joannah Mzigua90
Binafsi Sina Hizo mbanga...
 
Back
Top Bottom