Wanawake punguzeni vikao wakati wa tendo

Wanawake punguzeni vikao wakati wa tendo

Naelewa huwezi kufanya mapenzi kimya kimya kama unabaka

Naelewa ule ni wakati mwingine wa kueleza hisia zake kwa mtu unayempenda. Ni muhimu ku respond juu ya mchakato unaloendelea pale kati.

Mimi nazungumzia wale wanaoanzisha kikao, anakuja na ajenda irrelevant. Sasa jiulize nani anachukua muhtasari.

Umemkalia mwanaume kwa juu kisha anamuulliza atakuoa lini, una mkopo anakusaidiaje kulipa, kwa nini juzi hakujibu sms ya pesa ya salon na vocha. Kwamba kuna kiwanja amepata amepelea milioni. Hivi hapo kuna majibu ya maana utapewa kweli zaidi ya mauongo tu.

Aaaggghhhh inakata stimu. Kama mwanamke huna content wakati wa show ni bora ukanyamaza tuache sauti za utelezi zisikike. Tafuta platform nyingine za kuwekana kikao.
Zinduka unaibiwa.
 
Naelewa huwezi kufanya mapenzi kimya kimya kama unabaka

Naelewa ule ni wakati mwingine wa kueleza hisia zake kwa mtu unayempenda. Ni muhimu ku respond juu ya mchakato unaloendelea pale kati.

Mimi nazungumzia wale wanaoanzisha kikao, anakuja na ajenda irrelevant. Sasa jiulize nani anachukua muhtasari.

Umemkalia mwanaume kwa juu kisha anamuulliza atakuoa lini, una mkopo anakusaidiaje kulipa, kwa nini juzi hakujibu sms ya pesa ya salon na vocha. Kwamba kuna kiwanja amepata amepelea milioni. Hivi hapo kuna majibu ya maana utapewa kweli zaidi ya mauongo tu.

Aaaggghhhh inakata stimu. Kama mwanamke huna content wakati wa show ni bora ukanyamaza tuache sauti za utelezi zisikike. Tafuta platform nyingine za kuwekana kikao.
Ndio ujibu maswali yake, ushaona umekamatika, nakaziaaa endeleeni kuweka vikao tena akikaribiaa kutoa wazungu chomoa muulize maswali yako. Wakati mwingine ukiwa unaimba na mic uliza maswali yako na ujibiwe akijudanganya msubirie wakati huooo
 
Ukiona anaongea mada nyingine, ujue UKUNI haujamkolea, chochea moto.

Na hayo ndio madhara ya kukaliwa juu, siku nyingine usikubali, akikaa juu inakuwa kama yaya ndio ANAKUFANYA wewe.. Muweke ila inaitwa PARAMAGAMBA kabudi., uone kama ataleta madeni ya vikoba. 😂
😆😆😆😆 hiyo style ndio inakuwa aje mtaalamu?
 
Ukiona anaongea mada nyingine, ujue UKUNI haujamkolea, chochea moto.

Na hayo ndio madhara ya kukaliwa juu, siku nyingine usikubali, akikaa juu inakuwa kama yaya ndio ANAKUFANYA wewe.. Muweke ila inaitwa PARAMAGAMBA kabudi., uone kama ataleta madeni ya vikoba. 😂
Mkuu na kuna Ile style nya DP WORLD sio powa....😂😂
 
Naelewa huwezi kufanya mapenzi kimya kimya kama unabaka

Naelewa ule ni wakati mwingine wa kueleza hisia zake kwa mtu unayempenda. Ni muhimu ku respond juu ya mchakato unaloendelea pale kati.

Mimi nazungumzia wale wanaoanzisha kikao, anakuja na ajenda irrelevant. Sasa jiulize nani anachukua muhtasari.

Umemkalia mwanaume kwa juu kisha anamuulliza atakuoa lini, una mkopo anakusaidiaje kulipa, kwa nini juzi hakujibu sms ya pesa ya salon na vocha. Kwamba kuna kiwanja amepata amepelea milioni. Hivi hapo kuna majibu ya maana utapewa kweli zaidi ya mauongo tu.

Aaaggghhhh inakata stimu. Kama mwanamke huna content wakati wa show ni bora ukanyamaza tuache sauti za utelezi zisikike. Tafuta platform nyingine za kuwekana kikao.
ASante, ujumbe ufike
 
Akiniletea pigo zozote nje ya mada husika, naacha namuuliza vipi tuendelee au tuanze mazungumzo uliyoanzisha. Niliwahi kufanya hivyo, hakurudia tena....utanioa lini, sasa ile simu utanunua lini, nataka nihame kwa dada..utanisaidia kodi??? wtf?
 
Back
Top Bottom