Mwee hiyo aya ya pili hadi nimecheka [emoji23] naweza kuliwa na mwanaume yoyote ili mradi niwe nimempenda upo? Nivue pichu kisa mwanaume ana gar sijui baada ya hapo ni faida gani napata? Rekebisha hapo.Ni kweli gari haukuwa yangu na sijaficha hilo. Kama wenzio walikubali kuvua nguo wote watatu wakiwa chumba kimoja basi wewe ndiyo utaliwa hadi juu ya pikipiki.
Tena nyie mnaobisha bisha kwa nguvu ndiyo wale waleeee wa kucha ndefu, kuchambia tishu, lipstick mpaka mashavuni, kuchonga nyusi mpaka zinaisha zote(Aisee mtafika mmechoka sana kunako uzima)
Inawezekana kweli nina kibamia maana kidudu changu ni kifupi kama zile betri kubwa za panasonic (Kwa umri wako sidhani kama unazijua), cheusiiiii lakini ni kinene kama sim tank la lita 5,000.. Sijui ndiyo hicho kibamia!!? Maana nyie ndiyo mnaovijua.Utakuwa una kibamia wewe...maana ndo washamba wa k[emoji1787][emoji1787]
Unatamaani ungekuwepo ee?.. wewe nisingekuchagua.. Si umesema kwenu mna magari makali..Hao walikuwa na genye kawaida tu hiyo....uliwapunguzia wazungu
[emoji23][emoji23]Bora hata ulivyo sema baadhi!
Hakuna raha kama kukaa kwa shemeji ila ili raha iwe kali zaidi ni lazima shemeji naye amlete mdogo wake wa kike pale kama ilivyo kwa huyu shemeji yangu.Na ubunifu huo lakini bado unaishi kwa shemeji yako unagombania remote na kina junia[emoji2957]
Safi sana tunapenda wanawake kama nyinyi.. Usibabaike na magari siyo mazuri sawa?Labda mie ndo mwanamke pekee ambae sishobokei magari...Niko tifauti kabisa na wale wengine huwa nawashangaa
Sijakulia mazingira ya kitajiri wala kuwa na gari ila sipapariki japo nna ndoto ya kuja kumiliki langu
Unaviita vidada sababu hukuwepo na pengine ni mmoja wao kati ya niliyowabandua siku hiyo ila sababu tu uko nyuma ya keyboard basi unao uwanja mpana sana wa kubisha. Hauna kucha ndefu kweli wewe!!!!!???????Ulikutana na vidada visivyojielewa na vilikua kwenye biashara....mwanamke anaejielewa hawez kujigonga kwa mwanaume eti kisa gari sijui kitimoto never.
Wee nawe sijui unasoma ukaelewa naona unajibu vitu hata havieleweki. Sasa kucha zinahusiana nini na nilichoandika?Unaviita vidada sababu hukuwepo na pengine ni mmoja wao kati ya niliyowabandua siku hiyo ila sababu tu uko nyuma ya keyboard basi unao uwanja mpana sana wa kubisha. Hauna kucha ndefu kweli wewe!!!!!???????
Haaa haaa kabla mwaka haujaisha lazima nimenye liwalo na liwe.Acha bia kwanza tafuta Passo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wadada ndio wanaongoza kwa magari saivi sio wakaka woiMbona sasa wengine tuna magari yetu stop generalizing women bruuuuhhhh we differ.... we Sema “baadhi”
Inategemea mimi napenda mwenye gari za kisasa sio hizi za zamani kama harrier , prado, sijui ist za wanachama kuna magari bhana mtu akitinga hapa unasema waah!sasa unadata na mtu mwenye prado tena nyeupe mwenyewe unamwona hana hata afya si bora ubaki tu na mushi mwenye ist tu mlee watoto kushinda kudanga danga na vioja hii ndio maono yangu.Ushamba na ulimbuken nothing special kwa MTU anayetambua issue za mtu kuwa na gari ni kawaida sana