Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
- Thread starter
-
- #141
Kwa kauli yako inamaana mtu akija hapa na bugatti anakupakua vizuri tu sio!!!?Inategemea mimi napenda mwenye gari za kisasa sio hizi za zamani kama harrier , prado, sijui ist za wanachama kuna magari bhana mtu akitinga hapa unasema waah!sasa unadata na mtu mwenye prado tena nyeupe mwenyewe unamwona hana hata afya si bora ubaki tu na mushi mwenye ist tu mlee watoto kushinda kudanga danga na vioja hii ndio maono yangu.
Wewe kwako gari ni kitu cha kawaida ila kuna wenzio wakisikia tu mlio wa gari wanasogeza chupi pembeni ukiwauliza nini!!!... Wanasema huku chini kunawasha kumbe anataka exhaust iingie kunako pango...Ushamba na ulimbuken nothing special kwa MTU anayetambua issue za mtu kuwa na gari ni kawaida sana
Kwa mimi hapana nina mipango mingine kabisaaa yaani mimi sio msiri mtajua tu.Kwa kauli yako inamaana mtu akija hapa na bugatti anakupakua vizuri tu sio!!!?
Nafasi ya kufanya nini?Safi sana tunapenda wanawake kama nyinyi.. Usibabaike na magari siyo mazuri sawa?
Ukizingatia hayo utaishi kwa matumaini... By the way unayo nafasi hebu jiamini.
Hawakuenjoywalikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti khee!!Mi ndio na bahati mbaya kila nikienda bar nikataka kung'oa mali mara nyingi zinaniambia twende tukaongelee kwenye gari yako .Nabaki kusema tu kimoyo moyo hiiii hiiii.Naishia kuzuga zuga parking mpaka mali zinapepea.
Endeleeni kugongelea "kota-pini"!😂😂😂😂Sisi wenye baskeli tuna komenti wapi
Naomba nikufikishe nami
Kajaa mulemule alikuwa anakataa kuwa ukiwa na gari huwezi mbanduaKwa kauli yako inamaana mtu akija hapa na bugatti anakupakua vizuri tu sio!!!?
Leta ushahidi hata wa picha tuuAta wanaume baadhi wa jf wakiona mwanaume mwenzie yupo na gari,wanapapatika sana.