Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza).

Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si mrefu atapiga hapa kwangu na gari yake ataiacha hapa maana watu anaotakiwa kuonana nao hawatakiwi kujua kama mchizi ana gari (Harrier nyeusi, huku kwetu tunaziita Python maana ukiziangalia zinakuita).

Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.

Ghafla bin vuu nikapata wazo la kwenda na ile ndinga kwenye car wash moja hivi wana bar moja kali sana pale, pia hiyo car wash iko mkabala na chuo kimoja kikubwa sana hapa town.

Ile naingia tu nakuta kundi kubwa la madem pale na waliniona ninavyoshuka kwenye Harrier, walikuwa wanakunywa lite zao huku wakipiga stori za cozwek nikajua tu hawa ni wanachuo wa chuo X na ni wamoto hatari kuanzia mavazi mpaka shape.

Basi mtaalam nikatimba pale sina stori na mtu kwanza nikaagiza carton mbili za heineken (Mimi na heineken wapi na wapi? Mimi zangu ni K-Vant na konyagi sana sana nikikosaga hizo basi naruka na bingwa kadhaa. Nilifanya hivyo ili tu niwatoe wenge hawa maslay queen). Na kweli niliwatoa wenge maana macho yote yakahamia kwangu, vi lite vyenyewe wanalamba lamba tu kidogo ili visiishe haraka na wakicheki huku mjuba nina carton mbili za heineken.

Sikuwapa hata muda wa kupumzika mammaaeee nikaita mtu wa jikoni fasta ikaja kitimoto gafla kilo moja na nusu. Mmoja wao kati ya wale madem uzalendo ukamshinda akajifanya anaenda washroom njia iko kuleee ila akapita pembeni ya meza yangu na mtako wake mimi namcheki tu kiwizi wizi anavyoutingisha ili nimuone.

Picha linaanza wakati anarudi. Akasimama mbele yangu na kunisalimia "mambo" .. nikamjibu safi habari yako!!? Akasema I'm good(na vingereza vyao vya kislay slay).

Mara oooh would you mind if we join your table? Nikamwambia no but some of you..... Akarudisha tena swali kwangu.... Yupi na yupi.? Hapo sasa simba nikapewa uwanja wa kuchagua swala... Nikawachagua wawili toka kwenye lile group na yeye pia jumla wakawa watatu.

Nikawaambia malizieni hizo heineken nikaitisha tena kilo mbili za kitomoto nikawaambia mkimaliza tuhame kiwanja twende sehem nzuri zaidi wakasema poa.

Wamemaliza nikawakokota mpaka kwenye harrier(kama yangu vile kumbe walaa kidume navimba tu).

Kufupisha huu mkasa tuliishia kupiga sijui ndiyo wanaita threesome au kitu gani. Niliwakung'uta wote watatu tukiwa humo humo chumbani, niliwapiga bao moja moja ila wa mwisho ndiyo alikoma maana bao lilikuwa halitoki.

Nikaagana nao bila kuwapa hata sh mia. Nikawasha gari nduki nikamtumia mesej yule aliyenifata mara ya kwanza kuwa nitawacheki weekend ijayo niwapekeke dodoma wakaone mji mpya akasema tutafurahi sana dear.

Lakini hii yote ni nguvu ya gari tu. Wanawake kwani hamutajui magari?

Kipi kinafanya mtu akiwa na gari unamuona kama Mungu mtu?

Mbona sisi wanawake wenye magari hatuwashibokei ila nyie ndiyo viherehere mnayajua sana magari.

Nimewalamba wote watatu chumba kimoja humo humo kisa gari. Na walikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
Kwa hii story hapa wewe ndo mshamba.
 
Kwa hii story hapa wewe ndo mshamba.
Uzuri najijua mimi ni mshamba sana. Huwa sifichagi. Na kila mtu anao ushamba wake piga ua..(Ukiwa mjanja wa kila kitu utaingia kwenye tundu moja bovu sana na hapo ndipo wewe utakapoonekana mshamba kuliko wale ambao wewe uliwaona ni washamba)
 
Tatizo siyo wanawake, tatizo ni watu wasiotumia akili zao vizuri. Maana mie hapo naona wote mlikua mnashida, anayetumia gari kama gia ya kuwapata wanawake na hao wanawake walioingia chaka...wote mna shida kwa kweli. Hakuna mjanja hapo, ujanja sio kujifanya tajiri ama siyo kutaka kula pesa za aliyenazo.
 
Tatizo siyo wanawake, tatizo ni watu wasiotumia akili zao vizuri. Maana mie hapo naona wote mlikua mnashida, anayetumia gari kama gia ya kuwapata wanawake na hao wanawake walioingia chaka...wote mna shida kwa kweli. Hakuna mjanja hapo, ujanja sio kujifanya tajiri ama siyo kutaka kula pesa za aliyenazo.
Kumbe ilikuwa ni mechi ya washamba? Ila yote kwa yote nilienjoy sana na dodoma tunaenda.
 
Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.
Nimecheka sana.
Thank you for sharing.
 
Kibongobongo gari ni mfereji mzuri na mwepesi kukupatia HIV
Hii hapa

 
Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza).

Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si mrefu atapiga hapa kwangu na gari yake ataiacha hapa maana watu anaotakiwa kuonana nao hawatakiwi kujua kama mchizi ana gari (Harrier nyeusi, huku kwetu tunaziita Python maana ukiziangalia zinakuita).

Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.

Ghafla bin vuu nikapata wazo la kwenda na ile ndinga kwenye car wash moja hivi wana bar moja kali sana pale, pia hiyo car wash iko mkabala na chuo kimoja kikubwa sana hapa town.

Ile naingia tu nakuta kundi kubwa la madem pale na waliniona ninavyoshuka kwenye Harrier, walikuwa wanakunywa lite zao huku wakipiga stori za cozwek nikajua tu hawa ni wanachuo wa chuo X na ni wamoto hatari kuanzia mavazi mpaka shape.

Basi mtaalam nikatimba pale sina stori na mtu kwanza nikaagiza carton mbili za heineken (Mimi na heineken wapi na wapi? Mimi zangu ni K-Vant na konyagi sana sana nikikosaga hizo basi naruka na bingwa kadhaa. Nilifanya hivyo ili tu niwatoe wenge hawa maslay queen). Na kweli niliwatoa wenge maana macho yote yakahamia kwangu, vi lite vyenyewe wanalamba lamba tu kidogo ili visiishe haraka na wakicheki huku mjuba nina carton mbili za heineken.

Sikuwapa hata muda wa kupumzika mammaaeee nikaita mtu wa jikoni fasta ikaja kitimoto gafla kilo moja na nusu. Mmoja wao kati ya wale madem uzalendo ukamshinda akajifanya anaenda washroom njia iko kuleee ila akapita pembeni ya meza yangu na mtako wake mimi namcheki tu kiwizi wizi anavyoutingisha ili nimuone.

Picha linaanza wakati anarudi. Akasimama mbele yangu na kunisalimia "mambo" .. nikamjibu safi habari yako!!? Akasema I'm good(na vingereza vyao vya kislay slay).

Mara oooh would you mind if we join your table? Nikamwambia no but some of you..... Akarudisha tena swali kwangu.... Yupi na yupi.? Hapo sasa simba nikapewa uwanja wa kuchagua swala... Nikawachagua wawili toka kwenye lile group na yeye pia jumla wakawa watatu.

Nikawaambia malizieni hizo heineken nikaitisha tena kilo mbili za kitomoto nikawaambia mkimaliza tuhame kiwanja twende sehem nzuri zaidi wakasema poa.

Wamemaliza nikawakokota mpaka kwenye harrier(kama yangu vile kumbe walaa kidume navimba tu).

Kufupisha huu mkasa tuliishia kupiga sijui ndiyo wanaita threesome au kitu gani. Niliwakung'uta wote watatu tukiwa humo humo chumbani, niliwapiga bao moja moja ila wa mwisho ndiyo alikoma maana bao lilikuwa halitoki.

Nikaagana nao bila kuwapa hata sh mia. Nikawasha gari nduki nikamtumia mesej yule aliyenifata mara ya kwanza kuwa nitawacheki weekend ijayo niwapekeke dodoma wakaone mji mpya akasema tutafurahi sana dear.

Lakini hii yote ni nguvu ya gari tu. Wanawake kwani hamutajui magari?

Kipi kinafanya mtu akiwa na gari unamuona kama Mungu mtu?

Mbona sisi wanawake wenye magari hatuwashibokei ila nyie ndiyo viherehere mnayajua sana magari.

Nimewalamba wote watatu chumba kimoja humo humo kisa gari. Na walikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
Umepewa utam na wadudu bureee usishangilie [emoji2][emoji2]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hii hapa

Hapa jamaa ulituliza akili kuandika
 
Back
Top Bottom