Dada ao mbona haujataja?Huu ni uzi wenu mtiririke na kuserereka.
Mtaje top ten zenu kama sio five ya I'd za wanaume zenye majina matamu kwenu na yanayowavutia... For sure..
Nb nna imani ntakuwa wa kwanza.. [emoji41][emoji41][emoji41]
Kumbe kama mimi tu navyokuelewaga.Mie ninalo moja tu nalipenda kinyamaaaaaa,tatizo siwezi kumtaja
Naombea Khantwe asipite hapa manake anamjua
Hahahhh 😍😍😍
Sesten Zakazaka zuri sana hili jina la huyu mzee mwenzangu yaani kuna kipindi alifanya hadi nikatamani na mimi nijiite Shadeeya Zakazaka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mana nililipenda tu hilo jina.
Umeonaee!! Waeza kaa na kuwaza hivi waliwazaga nini kujipa haya majina.Umetaja moja ya ids ninazozipenda yaani ukiacha wanayoyaandika humu ila usernames zao tu nazipenda zilivyokaa
Karma
Umeonaee!! Waeza kaa na kuwaza hivi waliwazaga nini kujipa haya majina.
Sesten Zakazaka zuri sana hili jina la huyu mzee mwenzangu yaani kuna kipindi alifanya hadi nikatamani na mimi nijiite Shadeeya Zakazaka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mana nililipenda tu hilo jina.
..Asante Shadeeya na wala hujachelewa ujue[emoji2957]
Tena ngoja nikwambie mamii, huyu Zakazaka alikua ni beki kisiki wa kati wa timu ya Taifa ya Malawi akicheza kati sanjari kabisa na aliyewahi kua kocha wenu Wananchi na pia Prisons ya Mbeya Jack Lloyd Chamangwana. Penda jina lake na mpende mwenyewe wala usipepese[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ungeanza kutaja wewe ili wenzako wafuatieHuu ni uzi wenu mtiririke na kuserereka.
Mtaje top ten zenu kama sio five ya I'd za wanaume zenye majina matamu kwenu na yanayowavutia... For sure..
Nb nna imani ntakuwa wa kwanza.. 😎😎😎
You are the best niqqa
Thanks so much Karma
You are the best niqqa
Thanks so much Karma
Hao sidhani kama watakuwa Romantic. Full kuongea serious matter.Ikifika muda wa kutaja I'd 10 za kiume zinazoandika vitu vya maana, na mifano ya kuigwa usiache kuniita.
Kwenye list yako hapo Ni hao tu ninaowakubali[emoji16][emoji16] enhe bado wawili
Karma
Mtani naona umeweka nukta mbili. Lol 😅