Napita tu...
Ila ujue kuna watu wana sifa sanaa...mtu kala mlenda bado atataka na "tospiki" mfyuuu ili adolishie nayy kala meat πππ
We nae umefata nini hapaWewe unakula kwa jirani...mumeo kashakula hotelini alafu watoto wakiumwa Mtapiamloo unatafuta mchawii??? Wanawake bhana kweli Mwalimu wenu mmoja...
πππavatar yakoπππππNapita tu...
πππWe nae umefata nini hapa
Shoga tuvumiliane tu.πππavatar yakoπππππ
Shoga tuvumiliane tu.
Wengine wanakuja na stick mpaka mume anajua kama kala kwa Open Kitchen
Hahahahaha na hayo maharage atakuletra daily ili uongeeHahahaaaaa
Ila si bora kuongea kuliko kufumwa kwa jirani?
Kuna wanaume wamezoea wake zao vinanda, ukikaa kimya anaanza kukuchokonoa ilimradi tu akusikilize!!!
Ila wanaume wakware dawa yao ndo hiyo.Bado nakusubiri
Haahahaaaππππππππππ
Shoga mie kule nishatoka.Madame B nakufa na avatar yakoππππ hiv wewe tototundu una nn lakini ππ@mother Confesser umeiona avatar ya le madam herself
Hahahaha ndio waje wajifunze wenye sifa zao za kijinga...mimi mama la mama VVIP mama wa makonfesa wote duniani siwezi kula dagaa nikatapika kuku...hata siku mojaπππππau umekula samosa zenye chachandu unafika hom unacheua na wwππkhaa unataka harufu ya vitunguu isikike ili iwajeππππͺπͺπ!mjifunze kumute maisha yasonge
ππππumeamua kuhamia side Bππ yaan ww ni kwikwii..sipelek umbea mm kwa x akui kwa mazoea gani nilonayoπ!furahia maisha tu kwakwelShoga mie kule nishatoka.
Narudi muda ninaotaka.
Niko free ndio maana nafanya nalotaka.
Siwezi date na baba yangu mimi.
Huu ujumbe ukifika.....haki ntajua ni wewe.
Hahahhah
Maisha yenyewe mafupi kama ushuzi.ππππumeamua kuhamia side Bππ yaan ww ni kwikwii..sipelek umbea mm kwa x akui kwa mazoea gani nilonayoπ!furahia maisha tu kwakwel
Hahahaha ndio waje wajifunze wenye sifa zao za kijinga...mimi mama la mama VVIP mama wa makonfesa wote duniani siwezi kula dagaa nikatapika kuku...hata siku mojaππ