Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napita tu...
Ila ujue kuna watu wana sifa sanaa...mtu kala mlenda bado atataka na "tospiki" mfyuuu ili adolishie nayy kala meat 😂😂😂
We nae umefata nini hapaWewe unakula kwa jirani...mumeo kashakula hotelini alafu watoto wakiumwa Mtapiamloo unatafuta mchawii??? Wanawake bhana kweli Mwalimu wenu mmoja...
😂😂😂avatar yako😂😂😂🙈🙈Napita tu...
😂😂😂We nae umefata nini hapa
Shoga tuvumiliane tu.😂😂😂avatar yako😂😂😂🙈🙈
Shoga tuvumiliane tu.
Wengine wanakuja na stick mpaka mume anajua kama kala kwa Open Kitchen
Hahahahaha na hayo maharage atakuletra daily ili uongeeHahahaaaaa
Ila si bora kuongea kuliko kufumwa kwa jirani?
Kuna wanaume wamezoea wake zao vinanda, ukikaa kimya anaanza kukuchokonoa ilimradi tu akusikilize!!!
Ila wanaume wakware dawa yao ndo hiyo.Bado nakusubiri
Haahahaaa😂😂😂😂😂😂👊👊👊👊
Shoga mie kule nishatoka.Madame B nakufa na avatar yako😂😂😂😂 hiv wewe tototundu una nn lakini 😂😂@mother Confesser umeiona avatar ya le madam herself
Hahahaha ndio waje wajifunze wenye sifa zao za kijinga...mimi mama la mama VVIP mama wa makonfesa wote duniani siwezi kula dagaa nikatapika kuku...hata siku moja👌👌😂😂😂au umekula samosa zenye chachandu unafika hom unacheua na ww😂😊khaa unataka harufu ya vitunguu isikike ili iwaje😂😂😂💪💪🙈!mjifunze kumute maisha yasonge
😂😂😂😂umeamua kuhamia side B😂😂 yaan ww ni kwikwii..sipelek umbea mm kwa x akui kwa mazoea gani nilonayo😁!furahia maisha tu kwakwelShoga mie kule nishatoka.
Narudi muda ninaotaka.
Niko free ndio maana nafanya nalotaka.
Siwezi date na baba yangu mimi.
Huu ujumbe ukifika.....haki ntajua ni wewe.
Hahahhah
Maisha yenyewe mafupi kama ushuzi.😂😂😂😂umeamua kuhamia side B😂😂 yaan ww ni kwikwii..sipelek umbea mm kwa x akui kwa mazoea gani nilonayo😁!furahia maisha tu kwakwel
Hahahaha ndio waje wajifunze wenye sifa zao za kijinga...mimi mama la mama VVIP mama wa makonfesa wote duniani siwezi kula dagaa nikatapika kuku...hata siku moja👌👌