Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ndo hapa wanakosea.Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
No Escape[emoji2955][emoji2955]View attachment 1169866
Ndo shida inaanzia hapo sasaSidhan kama huwa wanafikiria hilo
AuntieWadanganye tu wenzio.
Ndo hapa wanakosea.
Wanachukulia km ule msaada ni jukumu la mwanamke..kumbe Ni huruma tu wala sio lazima
Wanaelewa sana tuu mate!Awadanganye ama ndio ukweli huo, lini mtajifunza kuwa mume nae ni binadamu na wala sio mashine ya kufytulia pesa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]??? Acheni ubinafsi!
Mwanaume kuna muda anakwama na faraja pekee ni toka kwa mkewe, sasa mwanaume kama huyo akianza kuchepuka kuna mtu atalalamika, kama ndio treatment anayopata toka kwa mkewe?
Sio kwamba hatuelewi ni ubinafsi tuu umetujaa...Kuna wadada huwa wanadhani mwanaume Ana hela Muda wote,yaani hata ile huruma kumhurumia kidogo haipo..wadada sisi tuna roho ngumu jamani,Mwanaume nae Ni binadamu Kama sisi.
Tunapaswa kuwashika mkono hata Kama Ni kidogo.i(la hapa si kila mwanaume wa kufanyiwa hivyo.,wengine hii huruma hawastahili.)
Wanaume nao akili zao sijui zipo wapi,unakuta nae anatoa tu hovyo..watazidi kuwanyoosha
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji847][emoji847][emoji847][emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utakuwa Mario tu, huna jipya.
Humu watu wana gender bias ili mradi ametetea tu...Unabarikiwe Linguistic kwa Comments zako zisizo na unafiki.
hao watoto ni wa mme peke yake? watoto si wake? hao watoto wakikua wanakuwa faraja ya nani?sasa mke anajua kabisa jamaa anamchepuko na anamhudumia, anaanzaje kutoa hela hali akijua atahongwa mchepuko??! Najua mwanaume anaweza ng'ang'ania hela yangu lakini ajue naitoa bila hiyari...
Nibaki tu sina akili lakini si kwa akili hizi za mme kutaka na jasho la mkewe akaonge mchepuko
[emoji3]Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
[emoji3] unataka uweke DM kwa whatsupJamani mwenye hiyo picha ya nyoka akihojiwa naiomba
Ngoja niendelea kuona wachangiajiNdo hapa wanakosea.
Wanachukulia km ule msaada ni jukumu la mwanamke..kumbe Ni huruma tu wala sio lazima
Et wabishi[emoji3]Vijana wa sikuhizi ni wabishi na wapenda rahisi tu
Daah,.acha tuu somo anguu😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] Rafiki umenichekesha!
Nataka oa mke kama wewe [emoji85]Sio kwamba hatuelewi ni ubinafsi tuu umetujaa...
Kwani sie huwa tunakwama mara ngapi? Na tunawalilia hao hao wenzetu?! Wao ni nani wasikwame jamani!!
Mazingira ya kusaidiana na bebi wangu tumeyaanza toka zamani saaana nasoma!! Kuna wakati anakwama kabisa naona huyu anahitaji walau 20 akae mahali na wanaume wenzake, wala sisubiri aniombe nampa tuu!!
Ndio wabishi hamfuati maandiko mnafuata matakwa yenu....Et wabishi[emoji3]