Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
Ndo hapa wanakosea.
Wanachukulia km ule msaada ni jukumu la mwanamke..kumbe Ni huruma tu wala sio lazima
 
Huu nao ni mrejesho kwa tuliooa wasomi...
Nashukuru Mungu kwa huyu la saba wangu.
Kwenye ndoa siku hizi kila mtu anaingia na malengo yake kuweni makini,Harusi ni kutafuta Tension ya watu tuuu
 
Awadanganye ama ndio ukweli huo, lini mtajifunza kuwa mume nae ni binadamu na wala sio mashine ya kufytulia pesa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]??? Acheni ubinafsi!

Mwanaume kuna muda anakwama na faraja pekee ni toka kwa mkewe, sasa mwanaume kama huyo akianza kuchepuka kuna mtu atalalamika, kama ndio treatment anayopata toka kwa mkewe?
Wanaelewa sana tuu mate!
 
Kuna wadada huwa wanadhani mwanaume Ana hela Muda wote,yaani hata ile huruma kumhurumia kidogo haipo..wadada sisi tuna roho ngumu jamani,Mwanaume nae Ni binadamu Kama sisi.
Tunapaswa kuwashika mkono hata Kama Ni kidogo.i(la hapa si kila mwanaume wa kufanyiwa hivyo.,wengine hii huruma hawastahili.)
Wanaume nao akili zao sijui zipo wapi,unakuta nae anatoa tu hovyo..watazidi kuwanyoosha
Sio kwamba hatuelewi ni ubinafsi tuu umetujaa...

Kwani sie huwa tunakwama mara ngapi? Na tunawalilia hao hao wenzetu?! Wao ni nani wasikwame jamani!!

Mazingira ya kusaidiana na bebi wangu tumeyaanza toka zamani saaana nasoma!! Kuna wakati anakwama kabisa naona huyu anahitaji walau 20 akae mahali na wanaume wenzake, wala sisubiri aniombe nampa tuu!!
 
Unabarikiwe Linguistic kwa Comments zako zisizo na unafiki.
Humu watu wana gender bias ili mradi ametetea tu...

Kuheshimiana kwenye ndoa ni muhimu, kusaidiana ni muhimu sana kwa maendeleo ya familia. Mme akikosa uaminifu, mke anapata kigugumizi kuchangia matumizi . lakini kwa hali halisi iliyopo siku hizi wanawake wanachangia sana tu matumizi ya ndani km chakula, nguo, maji, umeme, mshahara wa hg. matibabu ya kawaida n.k.

Mume anajifanya hela yake ni ya mambo makubwa kiasi kwamba mchango wa mke auhesabiki kwa kuwa chakula kinaliwa watu wanaenda chooni mchezo umekwisha.

Wanandoa tuishi kwa upendo, uaminifu na kuheshimiana na sio mume kujiona ni mtu na nusu halafu mkewe anamuona a less human wakati huohuo wanawake wa pembeni anawaona wa maana...
 
sasa mke anajua kabisa jamaa anamchepuko na anamhudumia, anaanzaje kutoa hela hali akijua atahongwa mchepuko??! Najua mwanaume anaweza ng'ang'ania hela yangu lakini ajue naitoa bila hiyari...

Nibaki tu sina akili lakini si kwa akili hizi za mme kutaka na jasho la mkewe akaonge mchepuko
hao watoto ni wa mme peke yake? watoto si wake? hao watoto wakikua wanakuwa faraja ya nani?
 
Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
[emoji3]
 
Sio kwamba hatuelewi ni ubinafsi tuu umetujaa...

Kwani sie huwa tunakwama mara ngapi? Na tunawalilia hao hao wenzetu?! Wao ni nani wasikwame jamani!!

Mazingira ya kusaidiana na bebi wangu tumeyaanza toka zamani saaana nasoma!! Kuna wakati anakwama kabisa naona huyu anahitaji walau 20 akae mahali na wanaume wenzake, wala sisubiri aniombe nampa tuu!!
Nataka oa mke kama wewe [emoji85]

Sio hawa wakina naniliu [emoji23][emoji23]

Vp huna dogo nije ni[emoji183]
 
Back
Top Bottom