Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimecheka kwa sauti..... KUOWA ni choice, ONLY KWA UMRI FULANI.... uwe na 50 year bado useme ni choice...!!! TUSISAHAU KUNA CHOICE MBOVU NA MBAYA REGARDLESS OF THE AGESimtetei huyo mwanamke, najua alichokifanya sio sahihi.
Unajua sometimes haitoshi kuwa sahihi peke yake, bali jinsi unavyocommunicate inamatter sana. Kama baharia katamka hayo maneno, basi kafeli kwenye uwasilishaji.
Kuhusu swala la ndoa, ni choice tu mzee baba, I may be older than you. Na wewe kuwa umeoa haimaanishi kwamba you are always right.
Cheka tu, mwanamke kusaidia majukumu ni huruma yake tu kwako na mapenzi yake kwa familia ila sio sheria kwamba asipofanya ni kosa, haipo hivyo na haiwezi kuwa hivyo[emoji3]
Atoto, inaonyesha mumeo hata akifa bado utataka atoe hela ya matumizi yako. MNADHANI WANAUME HATUISHIWAGI? MBAYA ZAIDI MNAJUWA HELA ZILIVYOPATIKANA NA MATUMIZI YAKEWadanganye tu wenzio.
Wapo wengi sana jamani, mnatengeneza mazingira ya kusaidiana tuu...Nataka oa mke kama wewe [emoji85]
Sio hawa wakina naniliu [emoji23][emoji23]
Vp huna dogo nije ni[emoji183]
Kwenye Stori ya mtoa mada umeona NI sawa mwanamke kufanya aliyoyafanya? Ukumbuke tunachangia as per threadMsioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
Wewe umeoa?hawezi kuwa kaoa huyo
Nimecheka kwa sauti..... KUOWA ni choice, ONLY KWA UMRI FULANI.... uwe na 50 year bado useme ni choice...!!! TUSISAHAU KUNA CHOICE MBOVU NA MBAYA REGARDLESS OF THE AGE
Matakwa yap sasaNdio wabishi hamfuati maandiko mnafuata matakwa yenu....
[emoji50][emoji50]Wapo wengi sana jamani, mnatengeneza mazingira ya kusaidiana tuu...
Mie ndo wa mwisho jamani, pole ila nakuombea na wewe upate wako!
Wewe umeoa?
Hhaha ndo nishamuuliza; nasubiri jibu hapaUsimuulize swali hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Matakwa yap sasa
Hivi inawezekana kumuambia mchepuko ishu kali na za ndani kama hizi???unao uzoefu kidogo?? just share please....Huwezi kujua kwa sababu kuna ndoa inakuwa imevurugika hasahasa kama mme anachepuka na mke anajua, na labda kabla ya hapo alikuwa anachangia matumizi bila shida lakini leo mme anahonga nyumba ndogo hivi mke ataendelea kutoa hela kwa moyo jamani
Acheni kutwisha Lawama wanawake kwa kisingizio kuwa wao ni wabaya na wanaweza kukosa kuolewa, niwaambie tu kadiri umri unavyoyoyoma mwanaume ndio anahitaji zaidi kuwa na mke.
Mleta mada atakuwa ni nyumba ndogo ya jamaa ndo maana kaijua story nzima wakati ni mambo ya ndani, kusimuliwa na Mchepuko wake... Shame on you
Kwenye Stori ya mtoa mada umeona NI sawa mwanamke kufanya aliyoyafanya? Ukumbuke tunachangia as per thread
Dah hii comment imenikumbusha kitu, asante mkuu shukrani.Pia sisi wanaume tunakosea kwenye kuoa,wengine wanaoa kazi badala ya kuoa mwanamke mwenye upendo....acha ya mkute,na sisi wengine iwe funzo.
Mi cha house girl sili hata kama uko busy kama moyo.nilishaachaga miaka mingi.ila pia kama unafanya kazi nitaelewa na sitakusumbua.Nitakuhudumu majukumu yangu yote KWA MUJIBU WA KIPATO/UWEZO WANGU. una ndoto zako pia.pursue them.kama unaiona thamani ya familia u will hustle to keep them both:family na kazi yako.u can help ukitaka.Niwe muwaz tu japo mimi ni ke,, ikiwa mwanamke anafanya kazi na hela yake haiwez kusaidia chochot n bora aache kazi nijue kimoja tu kwamba n house wife,siez kuvumilia kula chakula cha house girl na watoto wangu wanalelewa na house girls wakat unafanya kazi isokuw na faida kwangu
Ok conclusion n kwamba sisi binadam ndo tunalea matatizo kila mtu akisimama kwenye nafas yake haya hayawez kuwepo,tujitahd kudeal na future kuliko kupelekwa na mihemko
Note,s jukumu la mwanamke kutunza familia lakn kama anakipato n lazima hela iwe kwenye mipango sio umeme ukate et lazma mme aweke asee wanaume tumien akil
Mimi namuuliza tena wala sijivungi kwani ajui hela zangu nimezifanyia nn. Nikijivunga watoto siwatakufa njaa. Huyo mwanamke hafai. Ndio fikiria jamaa anapitia kipindi champito2 anamfanyia hivyo je laiti kama jamaa angekuwa kafukuzwa kazi?Mwanaume hakutakiwa kuuliza "unatuachaje" huu ni udhaifu kwa kichwa cha familia.... Ila mwanamke nae lol ana roho ngumu kwelikweli alitakiwa awahurumie tu watoto wake hakuna namna......
Aisee... Umbumbu tena...!!! HongeraKucheka kwa sauti kunaonyesha umbumbu wako. Kuoa sio achievement.
Kuna watu kibao duniani wapo respected na hawajaoa.
Usijihisi special kwa kuoa. Anyway, naona tunahama nje ya topic.