Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Simtetei huyo mwanamke, najua alichokifanya sio sahihi.
Unajua sometimes haitoshi kuwa sahihi peke yake, bali jinsi unavyocommunicate inamatter sana. Kama baharia katamka hayo maneno, basi kafeli kwenye uwasilishaji.

Kuhusu swala la ndoa, ni choice tu mzee baba, I may be older than you. Na wewe kuwa umeoa haimaanishi kwamba you are always right.
Nimecheka kwa sauti..... KUOWA ni choice, ONLY KWA UMRI FULANI.... uwe na 50 year bado useme ni choice...!!! TUSISAHAU KUNA CHOICE MBOVU NA MBAYA REGARDLESS OF THE AGE
 
Wadanganye tu wenzio.
Atoto, inaonyesha mumeo hata akifa bado utataka atoe hela ya matumizi yako. MNADHANI WANAUME HATUISHIWAGI? MBAYA ZAIDI MNAJUWA HELA ZILIVYOPATIKANA NA MATUMIZI YAKE
 
Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila siku
Kwenye Stori ya mtoa mada umeona NI sawa mwanamke kufanya aliyoyafanya? Ukumbuke tunachangia as per thread
 
Kucheka kwa sauti kunaonyesha umbumbu wako. Kuoa sio achievement.

Kuna watu kibao duniani wapo respected na hawajaoa.

Usijihisi special kwa kuoa. Anyway, naona tunahama nje ya topic.

Nimecheka kwa sauti..... KUOWA ni choice, ONLY KWA UMRI FULANI.... uwe na 50 year bado useme ni choice...!!! TUSISAHAU KUNA CHOICE MBOVU NA MBAYA REGARDLESS OF THE AGE
 
ndivyo wanawake walivyo.......mpaka wana watoto 3, hakujua tabia za mkewe......mwambie ajiunge JF atajifunza kitu.
 
Huwezi kujua kwa sababu kuna ndoa inakuwa imevurugika hasahasa kama mme anachepuka na mke anajua, na labda kabla ya hapo alikuwa anachangia matumizi bila shida lakini leo mme anahonga nyumba ndogo hivi mke ataendelea kutoa hela kwa moyo jamani

Acheni kutwisha Lawama wanawake kwa kisingizio kuwa wao ni wabaya na wanaweza kukosa kuolewa, niwaambie tu kadiri umri unavyoyoyoma mwanaume ndio anahitaji zaidi kuwa na mke.

Mleta mada atakuwa ni nyumba ndogo ya jamaa ndo maana kaijua story nzima wakati ni mambo ya ndani, kusimuliwa na Mchepuko wake... Shame on you
Hivi inawezekana kumuambia mchepuko ishu kali na za ndani kama hizi???unao uzoefu kidogo?? just share please....
 
Niwe muwaz tu japo mimi ni ke,, ikiwa mwanamke anafanya kazi na hela yake haiwez kusaidia chochot n bora aache kazi nijue kimoja tu kwamba n house wife,siez kuvumilia kula chakula cha house girl na watoto wangu wanalelewa na house girls wakat unafanya kazi isokuw na faida kwangu
Ok conclusion n kwamba sisi binadam ndo tunalea matatizo kila mtu akisimama kwenye nafas yake haya hayawez kuwepo,tujitahd kudeal na future kuliko kupelekwa na mihemko
Note,s jukumu la mwanamke kutunza familia lakn kama anakipato n lazima hela iwe kwenye mipango sio umeme ukate et lazma mme aweke asee wanaume tumien akil
Mi cha house girl sili hata kama uko busy kama moyo.nilishaachaga miaka mingi.ila pia kama unafanya kazi nitaelewa na sitakusumbua.Nitakuhudumu majukumu yangu yote KWA MUJIBU WA KIPATO/UWEZO WANGU. una ndoto zako pia.pursue them.kama unaiona thamani ya familia u will hustle to keep them both:family na kazi yako.u can help ukitaka.
Sasa ni wewe kujiongeza,ukitaka kuwa mke,rafiki,mwenza wa maisha na msaada karibu.ukitaka kuwa KITU KINGINE pia karibu.uwe tu tayari kwa matokeo yoyote sababu wengine pamoja na uvumilivu wao mwingi kama mazoba wakishafanya maamuzi hayanaga reverse
 
Mwanaume hakutakiwa kuuliza "unatuachaje" huu ni udhaifu kwa kichwa cha familia.... Ila mwanamke nae lol ana roho ngumu kwelikweli alitakiwa awahurumie tu watoto wake hakuna namna......
Mimi namuuliza tena wala sijivungi kwani ajui hela zangu nimezifanyia nn. Nikijivunga watoto siwatakufa njaa. Huyo mwanamke hafai. Ndio fikiria jamaa anapitia kipindi champito2 anamfanyia hivyo je laiti kama jamaa angekuwa kafukuzwa kazi?
 
Hataki tusaidiane, aache kazi alee watoto. It's very simple, huwezi kuamka 0500hrs kila siku, tunakula chakula cha dada, watoto wanapelekwa na dada, wanajifunza tabia za dada, wewe unarudi 2000hrs then ulete story za kipumbavu.

Be "a stay home wife", ili ulete watoto kama " nature" inavyosema. Otherwise if you go out there, I should see the fruits of your labor.
 
Back
Top Bottom