linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Wewe amka mtoa post ni mchepuko wa jamaa,Alafu utakuta wanawake waliokata fuse ndio wanaolewa,mwanamke kama huyu mtoa post yupo tu,,
Hakika mtoa post kama yamekutoka moyoni hayo na huna ndoa karibu pm tushare jambo
Maana nyie ndo kiumbe pekee mliyepiga story na shettaniIla huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
Mwanamke umebahatika kupata kazi...
Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"
Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,
Mkuu ambao hatujaoa unatuambia nn ss mabahariaHalafu tukisema humu mwanamke aliyesoma ni LIABILITY kwenye ndoa tunaonekana wapuuzi, mara ohoo.. hatujiamini..blah blah blah!
Labda tuwekane sawa kwenye kitu kimoja na wote mnaojiandaa kuoa wanawake wasomi/wenye kazi muipate hii.
-Kadri mwanamke anavyozidi kusoma umuhimu wake kwa mwanaume unapungua. Na hata akiangia kwenye ndoa ni kwa ajili ya kupandisha social status tu.
-Mwanamke aliyeelimika hasa aliyefika ngazi za juu ana ndoto binafsi nyingi sana za kutimiza na huwa hazifi hivi hivi tu. Anaweza akazitelekeza kwa muda lakini siku akipata fursa ya kuzitimiza ndoto zake lazima aitumie fursa hiyo hata kama tayari yumo ndoani na hajari kama itaathiri ndoa.
-Mwanamke hata awe na uchumi mkubwa kiasi gani lakini ile natural instinct ya utegemezi haiwezi kumtoka, sana sana akijitahidi atakupunguzia mzigo tu kama mmezaa nae yeye atajigharamia mwenyewe huku watoto akikuachia wewe.
-Kadri mwanamke anavyozidi kuishi na wewe kwenye ndoa ndivyo anavyozidi kukuchoka hasa kama anajiweza kiuchumi na haoni hatari kuvunja ndoa maana hana cha kupoteza.
Kiufupi tu ni kwamba wanawake wasomi ni watu wenye matatizo mengi sana ndoani.
To a woman more education more problems in marriage-wise.
Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]Kila nikiingia jamii forum ndoto zangu za kuoa mwakani lazima ziyeyuke kwa asilimia kubwa sana .. Eeeh mungu tusaidie na hawa wanawake
Ama kwa lugha nyepesi, huyo anaeitwa kaka mmoja ni aina ya wanaume ambao hutowa mambo yao ya ndani ya ndoa na hata inapo bidi kumsingizia mke wake ili tu mchepuko ujione ni bora zaidi ya mke wa ndoaUmeniwahi nasubir jibu lake maana kuyajua yoye haya kuna namna
Kila la kheri mkuu,Alafu utakuta wanawake waliokata fuse ndio wanaolewa,mwanamke kama huyu mtoa post yupo tu,,
Hakika mtoa post kama yamekutoka moyoni hayo na huna ndoa karibu pm tushare jambo
Sawa mkuu, umeeleweka...Hapana jamani,ni jirani yangu tu
[emoji12][emoji13][emoji14]umefanya la maana kuyaambia hayo mapepo menzako,maana huwa hayana kinachotenganisha sikio la kulia na la kushoto kitu kikiingia kwenye sikio moja kinatokea kwenye sikio lengine
Shkamoo Dada...!! Mimi ndio napita hapa mjini kasoro bahariniMy kaka tumewaza the same.
Huwezi kujua kwa sababu kuna ndoa inakuwa imevurugika hasahasa kama mme anachepuka na mke anajua, na labda kabla ya hapo alikuwa anachangia matumizi bila shida lakini leo mme anahonga nyumba ndogo hivi mke ataendelea kutoa hela kwa moyo jamani
Acheni kutwisha Lawama wanawake kwa kisingizio kuwa wao ni wabaya na wanaweza kukosa kuolewa, niwaambie tu kadiri umri unavyoyoyoma mwanaume ndio anahitaji zaidi kuwa na mke.
Mleta mada atakuwa ni nyumba ndogo ya jamaa ndo maana kaijua story nzima wakati ni mambo ya ndani, kusimuliwa na Mchepuko wake... Shame on you
KumbeHalafu tukisema humu mwanamke aliyesoma ni LIABILITY kwenye ndoa tunaonekana wapuuzi, mara ohoo.. hatujiamini..blah blah blah!
Labda tuwekane sawa kwenye kitu kimoja na wote mnaojiandaa kuoa wanawake wasomi/wenye kazi muipate hii.
-Kadri mwanamke anavyozidi kusoma umuhimu wake kwa mwanaume unapungua. Na hata akiangia kwenye ndoa ni kwa ajili ya kupandisha social status tu.
-Mwanamke aliyeelimika hasa aliyefika ngazi za juu ana ndoto binafsi nyingi sana za kutimiza na huwa hazifi hivi hivi tu. Anaweza akazitelekeza kwa muda lakini siku akipata fursa ya kuzitimiza ndoto zake lazima aitumie fursa hiyo hata kama tayari yumo ndoani na hajari kama itaathiri ndoa.
-Mwanamke hata awe na uchumi mkubwa kiasi gani lakini ile natural instinct ya utegemezi haiwezi kumtoka, sana sana akijitahidi atakupunguzia mzigo tu kama mmezaa nae yeye atajigharamia mwenyewe huku watoto akikuachia wewe.
-Kadri mwanamke anavyozidi kuishi na wewe kwenye ndoa ndivyo anavyozidi kukuchoka hasa kama anajiweza kiuchumi na haoni hatari kuvunja ndoa maana hana cha kupoteza.
Kiufupi tu ni kwamba wanawake wasomi ni watu wenye matatizo mengi sana ndoani.
To a woman more education more problems in marriage-wise.
[emoji23] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sijaliona kosa la huyo dada labda kama mume wake hajawahi pita jamiiforums. Ila kama alishapita huku ama katika mtandao wowote wa kijamii asingeumia na jibu hilo. Maana yalishaongelewa sana humu na huwa wanasema changu changu chako changu hivyo tulishazoea