Woooiii[emoji23][emoji23]sasa nakwama wapi?Dyadyaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakuonaaa mke material,.woiii
Kuoa nikama bahati nasibu unaweza ukachagua watano ukakosa wote, mgine anachangua moja tu akapatia vzri, jambo la muhimu nikumhusisha Mola katika mchakato mzima wa kuoa....ukisema mambo ya probation jamii haitakuelawa kila mwaka unaleta baada ya mwaka mnaachana, kwasabb wengi ni ma 'bomb' mimi ninalo hapa moja duh naona gharama ya kilipasua nikubwa duh.Mimi hayo maigizo ndio nilishayatafutia suluhu kama baharia mstaafu. Mwanamke ambaye naona atanifaa naweka ndani anakula probation ya mwaka na nusu kimya kimya, amini kwamba malaya hawezi igiza ndani ya muda wote huo.
Utamsanukia tu na tabia zote mbovu utazijua, sasa mambo ya kuuziana mbuzi kwenye gunia ndio hayo unaoa wakala wa shetani kwenye ngozi ya kondoo.
Ila epuka sana mwanamke mbinafsi kichaa angu, katika tabia zote pamoja na uzuri gani au utamu kiasi gani alionao manz yako hakikisha hana tabia ya choyo mkuu, awe mzungu wa roho na understanding...utafurahia sana maisha baharia wangu.
Hujui ulipokwama??😂😂😂😂Woooiii[emoji23][emoji23]sasa nakwama wapi?
Tena kiazi ulaya😝😝Huwa sijui mabaharia wanakwama wapi? Yani mtu ataacha mwanamke mwenye maadili na yupo real ila anadondokea kwa kiazi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umemzoom kwa akili za mbali sana.Kwajinsi ulivyo elezea, nimejikuta mawazo yangu yanaamini kwamba wewe ni mchepuko wa huyo unae muita kwa jina la kaka mmoja....
Pole mkuu ila tu nasisitiza choose wisely, tazama mbali. Wengi huwa tunahadaika na sura nzuri na matako bila kujua kusudio la mungu kumneemesha mtoto wa kike na hivyo kuna mapungufu atakuwa nayo. Japo kila mtu ana preferences zake ila kwangu looks sio ishu sana bali characters.Kuoa nikama bahati nasibu unaweza ukachagua watano ukakosa wote, mgine anachangua moja tu akapatia vzri, jambo la muhimu nikumhusisha Mola katika mchakato mzima wa kuoa....ukisema mambo ya probation jamii haitakuelawa kila mwaka unaleta baada ya mwaka mnaachana, kwasabb wengi ni ma 'bomb' mimi ninalo hapa moja duh naona gharama ya kilipasua nikubwa duh.
......[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umemzoom kwa akili za mbali sana.
Mkuu una mawazo Kama yangu na ndio maana Mimi nikaoa street based woman kwa sababu hyo.Niwe muwaz tu japo mimi ni ke,, ikiwa mwanamke anafanya kazi na hela yake haiwez kusaidia chochot n bora aache kazi nijue kimoja tu kwamba n house wife,siez kuvumilia kula chakula cha house girl na watoto wangu wanalelewa na house girls wakat unafanya kazi isokuw na faida kwangu
Ok conclusion n kwamba sisi binadam ndo tunalea matatizo kila mtu akisimama kwenye nafas yake haya hayawez kuwepo,tujitahd kudeal na future kuliko kupelekwa na mihemko
Note,s jukumu la mwanamke kutunza familia lakn kama anakipato n lazima hela iwe kwenye mipango sio umeme ukate et lazma mme aweke asee wanaume tumien akil
Mwanamke akiwa nahela tena ndio kidume unakuwa kwenye position nzuri ya kumtambua.Sababu Ni kwamba muda mwingine wanaume huwa tunapotea wenyewe kwa kuchagua mwanamke kisa ana kazi au amesoma tukidhani kwamba ndio wife material na matokeo yake ndio Kama hayo yanayotokea.
Ni afadhali kuoa mwanamke asiyesoma au asiyeajiriwa siku ukimfungulia duka au mgahawa una uhakika watoto watakula na kupata nauli za shule hata Kama hauna kazi kuliko hao mashetani ambao hawana muda hata wa kupika nyumbani wakijifanya wako bize na kazi pamoja na safari feki za mara kwa mara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una Nini lakini?Hahahah napita nikicheka kingereza hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah ongeza volume hahahahah
Et jaman m hapo talaka inahusu,majukumu kusaidiana bhana kuna siku mwanaume anakosa sasa ikiwa kaoa kilaza kama hyo itakuwa na maana ganiWatakuja kusema unalilia kusaidiwa na mkeo 🤣🤣🤣 sijawahi ona watu wenye stupid thinking kama wa Tzed.
Family issues afanye baba pekeyake tu ilihali mama yupo na ni income earner pia. Thats selfishness in its highest degree, uache watoto na mume bila chakula kwa kejeli ya aina yake 🤣🤣🤣 mungu baba nisaidie!
Kuna wadada huwa wanadhani mwanaume Ana hela Muda wote,yaani hata ile huruma kumhurumia kidogo haipo..wadada sisi tuna roho ngumu jamani,Mwanaume nae Ni binadamu Kama sisi.Sijuii huwa tunakwama wapi jamani!
Mwanamke yupo kwenye ndoa na bado hajui jukumu la familia ni la baba na mama, yaani mke na mume!
Mipango inatakiwa iwepo kabla hata ya kuoana, sijui kama wanaume huwa wanaliwaza hili... Mwanaume Jaribu kukwama siku moja uone kama mpenzi wako ama mchumba wako atakusaidia au ndo atanunaa!!
Huyo mke lazma apate msaidizi na soon atarudi kwao kujifunza adabu.Et jaman m hapo talaka inahusu,majukumu kusaidiana bhana kuna siku mwanaume anakosa sasa ikiwa kaoa kilaza kama hyo itakuwa na maana gani
Wanaume wanaojielewa pekee ndio wanaopaswa kusaidiwa.Watakuja kusema unalilia kusaidiwa na mkeo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijawahi ona watu wenye stupid thinking kama wa Tzed.
Family issues afanye baba pekeyake tu ilihali mama yupo na ni income earner pia. Thats selfishness in its highest degree, uache watoto na mume bila chakula kwa kejeli ya aina yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mungu baba nisaidie!
Kwa hiyo sisi Ni masela zake shetani au sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alooh acha tu, hawa masela zake sheta ni nyoko.ree [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeah kama mume astahili basi huna budi kumkacha ila pia angalia na situation. Usiponunua chakula watoto wako watakula nini?Wanaume wanaojielewa pekee ndio wanaopaswa kusaidiwa.
Mwingine unamuona kabisa mzembe.
Kipato Cha mwanamke kuamua kusaidia Ni huruma yake tu Wala sio jukumu lake
Ila mwanamke atasaidia only if ana huruma ya kufanya hivyo na mwanaume wake anaeleweka