Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Ni liability kwako sio kwa kila mtu.
Wewe kama unaona Ni liability wenzio wengine wanaona Ni asset.
Ulitaka tuwe wajinga tusisome???
 
Empathy ni muhimu sana kwenye mahusiano.

Mwanamke akikosa Empathy hata Endurance itampa shida. Ndoa itaenda kaput.
 
Kwa hii case nahisi chanzo Ni mchepuko.
Kamwe siwezi msaidia mwanaume msaliti.
 
Kwajinsi ulivyo elezea, nimejikuta mawazo yangu yanaamini kwamba wewe ni mchepuko wa huyo unae muita kwa jina la kaka mmoja....
Kwa connection tu sikuwezi![emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
Bado nina hasira ntaandika neno moja moja.Women are so selfish!Huwa wanajenga kwao,najiuliza je na mamaake na bibi yake wengejenga kwao ingekuwaje?
 
Anataka tuwe vilaza watuburuze vizuri
Ukiingia kwenye ndoa hakuna mimi kuna SISI,Wakristo si huwa mnasema mwili mmoja?unakuwaje mwili mmoja nusu inafuraha na nusu inahuzuni?Wewe huna mume and with that attitude you wont have a husband,utazalia nyumbani!
 
The same woman, mwanaume akikomaa akapata hela akaanza umalaya na dharau mwanamke atasema wanaume hawana maana.

Wanawake muwe makini sana kuwasimang'a wanaume zenu kipindi hawana hela maana akipata hela atalipiza tuu, hii ni akili ya wanaume wengi maskini.unamvumilia sababu hana kitu na unaendelea nae huku unamsimang'a,sawa sina hana kitu,sasa akizipata ndo utajua uvumilivu una kikomo...
 
Jukumu la kutunza familia ni la mwanaume, imeandikwa katika vitabu vyote vya dini. Sitaishi kwa kumtegemea mwanamke hata awe kiongozi mkubwa na mwenye mshahara mkubwa mara 10 yangu.

Nitaishi kadri ya uwezo wangu na cha mke wangu itakuwa ni ziada tu ila daima sitamtegegemea haswa katika yafuatayo 1. Kulisha familia, 2. Ujenzi wa nyumba, 3. Ada za watoto, 4. Malipo ya maji, umeme, TV, nguo za wanafamilia, malipo ya wafanyakazi (house girl, house boy, mlinzi) n.k.

Mwanamke anachopata kitakuwa nyongeza tu. Ndio kanuni ilivyo hata kama analipwa mara tano Zaidi yako usimtegemee utakuja kulia kilio cha mbwa koko mdomo juu
 
Sasa kama jamaa anachepuka mimi nikioa kuna shida gani,kizuri kula na mwenzio mkuu
Hakuna shida mkuu... Oa tu, lakini usijidanganye kuwa huyu anayemsema mwenzake haachi hela nyumbani kwamba yeye ndo atakuwa anatoa hela ya matumizi...
 
Ingekua mie akifika tu kwao namuambia ukirudi ukatafute pa kuishi hapa hapakufai
 
Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
mbona wanaume wengi hawasem lakini hayo maneno maneno ya kukatisha tamaa wengi wanaambiwa, ila hilo la mbona umetuacha bila kitu ndani,mmh wanaume wa chache wanauwezo wa kuuliza wengi wanakufa na tai shingoni mtu anaona bora akope kwa riba a solve tatizo
 
🤣🤣🤣🤣🤣 nakubali baharia, hawa watu wanatufanya mabaharia watu wa hovyo hovyo tu huko ndoani!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…