Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mimi nimukupenda kijana mzuri๐
Akikukataa naomba mimi hiyo nafasi,hutajutia.Mimi nimekupenda kijana mzuri๐
Ukinikubalia naahidi hutajutia nafasi yangu kwako ๐ค
๐ niaminishe kama uyasemayo n kweli.Mimi nimekupenda kijana mzuri๐
Ukinikubalia naahidi hutajutia nafasi yangu kwako ๐ค
We muache tena ananiabisha jukwaani nimetema mtongozo hataki ๐๐๐Akikukataa naomba mimi hiyo nafasi,hutajutia.
๐
Mkuu ushawahi kumuona nani amefunguka jukwaani kama mimi ๐๐๐๐ niaminishe kama uyasemayo n kweli.
Imebidi nisimame hapa njiani kusubiri jibu,We muache tena ananiabisha jukwaani nimetema mtongozo hataki ๐๐๐
Fungua pm sasa utongozwe we vipi?Kwa wenzetu ngozi nyeupe naona si issue sana tofauti na huku kwetu.
Bora wewe jukwaani, mwenzio ni mtaani na alivyo na mdomo keshawaambia baadhibya wadau wangu wa karibu kuwa ananielewa.We muache tena ananiabisha jukwaani nimetema mtongozo hataki ๐๐๐
Niziquote comments zao uone?Mkuu ushawahi kumuona nani amefunguka jukwaani kama mimi ๐๐๐
Icebreaker na gentamycine je?mshamba_hachekwi na Half american hua nashindwa kuwatofautisha,wanapigo zinazofanana sana,ningesema ni ID's za mtu mmoja ila nimegundua kua sio mtu mmoja.
๐
Kijana bado anachuma majani na kutupa chini eti anafikilia nimpe mda anaogopa nitaumiza moyo wake๐๐Imebidi nisimame hapa njiani kusubiri jibu,
Bado unambembeleza au niendelee na safari yangu?
Sijawahi kulijua hili kuwa nna mfanano wa mshamba_hachekwi . Sema mimi naendaga kanisani.mshamba_hachekwi na Half american hua nashindwa kuwatofautisha,wanapigo zinazofanana sana,ningesema ni ID's za mtu mmoja ila nimegundua kua sio mtu mmoja.
๐
Nimecheka sana kwani mkuu ina ubaya gani๐๐๐๐Niziquote comments zao uone?
Mkuu mwenyewe yani unanipenda alafu unaniita mkuu, hapana hatutofika popote ๐
Genta ni mtata na mimi ni mtu mwema sana.hata Nuzulati anatambua hilo.Icebreaker na gentamycine je?
Yani unataka jimbo alafu unatumia neno mkuu, nimecheka sana imagine nakutongoza nakwambia nakupenda mkuu, uzuri wako hauna mfanowe mkuu. Nitakupa dunia ya moyo wangu mkuu๐ utakubali?Nimecheka sana kwani mkuu ina ubaya gani๐๐๐๐
Basi endelea kumsubiri mpaka amalize majani yote ila mimi sitakubali kuja kufanywa tairi la spea,ukichelewa kwa kumsubiri utakua umepishana na Gari la mshahara,bahati hua haiji mara mbili.Kijana bado anachuma majani na kutupa chini eti anafikilia nimpe mda anaogopa nitaumiza moyo wake๐๐
Ila kama kuna kimfanano kwa mbaliiii๐๐
Mfanano wa Genta na mimi ni kua,mtu akiingia anga zangu na kashfa au lugha chafu hua simuachi,nampokea kama alivyokuja,watu wa aina hiyo ukisema uwapotezee hua wanajiona wameshinda au wamepata mnyonge wao,sasa mimi hua napinga mbu kwa nyundo ili ajue kua amegongana na Treni la mizigo.Ila kama kuna kimfanano kwa mbaliiii๐๐
Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.Yani unataka jimbo alafu unatumia neno mkuu, nimecheka sana imagine nakutongoza nakwambia nakupenda mkuu, uzuri wako hauna mfanowe mkuu. Nitakupa dunia ya moyo wangu mkuu๐ utakubali?