Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

sasa kwani nani kakataa mwanamke kugombea nao wachangue mwakilishi wao wanawake daima hawawezi kuongoza sehemu zinazo hitaji maamzi mgumu kazi yako kutuandaria Chakula nyumbani
 
Wanawake, wataka kama mwenyekiti akiwa mwanaume basi makamu awe mwanamke,,,,,bunge limewakas moto hapa,,,,

...Watanzania tumechoka na siasa uchwara! Wanawake kila wakati mnataka vya bure!
Ingieni kwenye uwanja wa vita mpambane na wanaume kwa kufuata vigezo na sifa za mgombea.
 

Bunge la katiba ni vichekesho vitupu. Very disappointing.
Mwenyekiti akitoka Bara/Tanganyika, makamu atoke VisiwaniZanzibar, or vice versa,
ss wanadai eti Mwenyekiti akiwa mwanaume, makamu awe mwanamke or vice versa,
baadae watadai Mwenyekiti akiwa mkristo, makamu awe muislamu, or viversa,
au mwenyekiti akiwa mrefu, makamu awe mfupi,
au mwenyekiti akiwa mweusi, makamu awe mweupe,
au mweyekiti akiwa mnene, makamu awe mwembamba.

Upuuzi mtupu. Kigezo muhimu ni UWEZO tu
 
Sasa AshaRose Migiro ana caliber gani zaidi ya UN underperform? Failure.

Hujui kama kuna mtandao unahusisha wana Weruweru sec.school unamnadi agombee Urais kichinichini? Akitoka hapo ataanza kuwaambia akina mama alijaribu kuwatetea akakwamishwa!!
 
Sasa AshaRose Migiro ana caliber gani zaidi ya UN underperform? Failure.


Ifikie sehemu siasa zikae pembeni, Migiro kabla ya kuingia kwenye siasa alikua mwalimu wa sheria-Udsm(chuo bora kwa sheria Afrika Mashariki na kati). Sijaona popote taarifa rasmi zinazoongelea failure ya Migiro Un zaidi ya vyanzo vya uzushi uzushi.
 
Ifikie sehemu siasa zikae pembeni, Migiro kabla ya kuingia kwenye siasa alikua mwalimu wa sheria-Udsm(chuo bora kwa sheria Afrika Mashariki na kati). Sijaona popote taarifa rasmi zinazoongelea failure ya Migiro Un zaidi ya vyanzo vya uzushi uzushi.

Mpaka uambiwe kwani wewe huna macho ya kufanya minor analysis, huko UN mbali sana kwani hapa Tz kafanya nini baraza la mawaziri la kwanza, na hili alimoteuliwa tena naamini hakutakuwa na kitu.
 
Mambo ya beijing yanarudi mbona watakoma huko mjengoni.

Kama ni mambo ya Beijing wangekataa ubunge wa viti maalum waende wagombee mbona huko Ulaya na Marekani hawana viti maalumu watu wpte wanagombea.
Wanajidai wanataka haki wakati hawatimizi wajibu na wengi wao hata kuongea hawaongei humo Bungeni.
 
Mpaka uambiwe kwani wewe huna macho ya kufanya minor analysis, huko UN mbali sana kwani hapa Tz kafanya nini baraza la mawaziri la kwanza, na hili alimoteuliwa tena naamini hakutakuwa na kitu.


Ulitaka maajabu gani, tokea tupate uhuru mihimili yote ya dola imekua ikiongozwa na wanaume(kabla makinda hajawa spika), je umeaskini wa watanzania umepungua?
 
nashindwa kuelewa hawa wanawake wanamatatizo gani hasa, kama mtu anauwezo akigombea atapata waache kutumia jinsia kama kigezo wao c walemavu kama hawawez hawawez tuu waache kutupotezea muda alaaah!!!
 
Naona mwanasheria mkuu wa Zanzibar anazungumza kisheria zaidi simwelewi maana mimi si mjuzi ktk eneo hili

Hivi toka haya mambo yalivyoanza wakina mama wa vijijini wamesaidiwaje na akina mama wenye vyeo vya viti maalumu?

Naona akina mama wa vijijini wanazidi kuwa hoi, ilhali wanasiasa na viongozi wamama nanchanja mbuga na kusahau wenzao wa vijijini wakiwa dhoooofu


Lini tutafanya stock taking ya mafanikio ya upendeleo
 

Hawa ndio tunawategemea watupe katiba isiyo na ubaguzi, wakati wenyewe wana vionjo dhahiri vya ubaguzi
 
Nimeona wajumbe wa katiba wa jinsia ya kike wakishupalia suala la uwiano wa jinsia katika bunge la katiba.Nimeachwa njia panda hivyo nimeona nije hapa jukwaani kuomba wana jf mnielimishe katika hili.
1.Kuna ulazima gani wa kuzingatiwa suala la jinsia katika nafasi za uongozi? (Najua ni muhimu kushirikishwa ila umuhimu zaidi unakuja kutokana na pengo la kiutendaji ambalo wale waliopo wameshindwa kulitekeleza).
2.Ni uwezo gani walio nao wanawake ambao unahitaji upendeleo zaidi ya uwezo wao hata waombe huruma ya kupewa nafasi na sio kugombea kama wanaume?
3.Ni historia gani nzuri ya kiuongozi yupi mwanamke inayoweza kutushawishi tuwape nafasi wanazopigania?

Mod naomba uiacha mada hii kwani nahitaji kufumbuliwa fikra.natatizwa sana na hili na naamini kupitia jf nitasaidiwa
 
Ulitaka maajabu gani, tokea tupate uhuru mihimili yote ya dola imekua ikiongozwa na wanaume(kabla makinda hajawa spika), je umeaskini wa watanzania umepungua?

Sasa hao wanaume wana uhusiano gani na nafasi za upendeleo? hao wanaume hawajawekewa mazingira ya "tukiwezeshwa tunaweza" na ndio hoja hapa.
kumbuka malengo si umasikini tu hata amani iliyopo.
 
Hayo mambo wanayoyadai hao wanawake hayapo,hata vitabu vya dini vinasema mwanaume ni kichwa cha familia.
Wanachokifanya sasa ni kwenda kinyume na Mungu baaasi.
 

Hao wa jinsia ya kike walioshupalia suala hilo si umeona wanatoka pande gani haswa ya muungano? Si umeona wengi ni kutoka bara ambao wengi wao wanatabia za kiume. Wanawake wa Zanzibari wametulia na wana maadili haswa ya jinsia ya kike inavyopaswa kuwa, si wabishi wala si waropokaji. Hivyo hii ni strategy ya kusaidia kufikia muafaka wa pande za muungano. Ni faraja angalao hili limekubalika katika ngazi za kamati.
 
Wajumbe wanawake Bunge la katiba hivi sasa wamekuwa wakidai kunyanyaswa kijinsia kwa Kugombea moja ya nafasi za juu kabisa (Mwenyekiti wa bunge), Lakini tukumbuke wakati Bunge hili hili la katiba likianza alijitokeza Mwanamama Mwenzao tena Pekee (Mama Lwebangira) na akagombea nafasi ya mwenyekiti wa Muda, Huyu mama kilichomkuta ni zomea zomea na miguno kutoka hata kwa baadhi ya wanawake wenzake, Pia Hakupata kura zaidi ya 80, ingawa ndani ya bunge kuna Akina mama zaidi 200, kumbuka mama Lwebangira ni Mwanasheria/ msomi mzuri na ameendesha mikutano mingi ya ndani ya Nchi na kimataifa na Anajiamini, HUO UMOJA BANDIA WA KUDAI HAKI ZENU UNATOKA WAPI ?
 
Wajumbe wanawake Bunge la katiba hivi sasa wamekuwa wakidai kunyanyaswa kijinsia kwa Kugombea moja ya nafasi za juu kabisa (Mwenyekiti wa bunge), Lakini tukumbuke wakati Bunge hili hili la katiba likianza alijitokeza Mwanamama Mwenzao tena Pekee (Mama Lwebangira) na akagombea nafasi ya mwenyekiti wa Muda, Huyu mama kilichomkuta ni zomea zomea na miguno kutoka hata kwa baadhi ya wanawake wenzake, Pia Hakupata kura zaidi ya 80, ingawa ndani ya bunge kuna Akina mama zaidi 200, kumbuka mama Lwebangira ni Mwanasheria/ msomi mzuri na ameendesha mikutano mingi ya ndani ya Nchi na kimataifa na Anajiamini, HUO UMOJA BANDIA WA KUDAI HAKI ZENU UNATOKA WAPI ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…