SINDANO YA KIGOGO
Member
- Mar 25, 2018
- 13
- 44
Habari bila picha ni uzushiKweli Dar Es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma (daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma. Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
π ππ
aliye waroga ni pesaKweli Dar Es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma (daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma. Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
π ππ
Mbona now ni mwezi wa baridi sana πππJoto bro joto, sio kwamba tunapenda....π
Mtu yeyote mwanamke kwa mwanaume above 35 years anaepanda huo usafiri hayupo timamu, ulitakiwa kwa umri huo uwe angalau na ist.waachieni wanafunzi usafiri wa uma .Kweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma.
Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
π ππ
Ni zaidi ya kugusishwa, nahisi nilikuwa nawindwa maana mh. Bila shaka wana matatizo ya akili maana kwa mtu anayejielewa hawezi fanya ule upuuziAlikugusishia msambwanda
Kwa hiyo nyinyi mnaokaa mjini mnaona ni sawa tu?Tatizo mnakaa mda mrefu mashambani
Itoshe tu kusema hiyo hivyo hivyo si sawa maana inauchochezi ndani yake πMjukuu yamekukuta ? Inasemekana anayevaa hicho kitu ni zarithebosslady tu, wengine ni hivyo hivyo
Kuna umuhimu wa kumiliki chombo cha usafiri maana hii si sawaBado hujaona kitu wewe...
Endelea kuishi hapo uwe unatembelea na mbagala, tandale, manzese,gmboto, n.k utakuja kujaza uzi huu