Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Usicheke bibie....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeh!
Mwanaume kiumbe kinachozidi kwisha ati...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usicheke bibie....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeh!
na wanazidi kuishaa!!kwa style hiiUsicheke bibie....
Mwanaume kiumbe kinachozidi kwisha ati...
Kwaiyo aina mana kama ni public msg??!!Zamani ilikua ni Private Message
Sahivi ni Public Message
Basi hata urafiki wa barua sio mbayaanantosha yy tu!
Hata salamu skrinshot[emoji23] [emoji23]na wanazidi kuishaa!!kwa style hii
wanaume skrinishot[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi hata urafiki wa barua sio mbaya
'mwanaume, kiumbe kinachokaribia kutokomea'Usicheke bibie....
Mwanaume kiumbe kinachozidi kwisha ati...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] skrinishot mwanzo mwisho..Hata salamu skrinshot[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!'mwanaume, kiumbe kinachokaribia kutokomea'
Aisee kama tembo wetu!! Inasikitisha.
hahaha wananusajeWakinusa kama hela ipo wenyewe wataku PM
Tafuta hela kijana hawa watakutafuta wenyewe
Ehehehe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aiseeehh!pole sana!Jf unaweza ukapenda avatar ukafikiria atakua dem atakua chombo kumbee lahaulaa..nilishasemaga sitafuti tena dem jf..maana mara 3 zote vry disappointed, jina zurii avatar nzuriii ila sasa....ngoja niishie hapo
Kuna Dada mmoja alini PM humu humu kuhusu interview ya ilala kaz za serikalin.
Kesho yake tukakutana kwenye eneo la interview, akanidesaaa weee mwishon kapata kazi now anatoka shavu tu.
Sa nyie shaur yenu fungeni fungeni tu mpishane na fursa
Haha amna kuscreenshot unakausha tu mtu nakuendelea na mambo mengne..mtafunga hzo dm kwa muda mtakuja fungua tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aiseeehh!pole sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewee!unajua we wajua wachat na cleopatraa!!
kumbe kina sie mababoon mwisho wa Siku ndo mnatuskrini shot!
yaap!tutafungua kwa sababu maalum pia!Haha amna kuscreenshot unakausha tu mtu nakuendelea na mambo mengne..mtafunga hzo dm kwa muda mtakuja fungua tu
Kutongozwa? Unakuta basi ad limtu liko single linafunga badala liache wazi neema inaweza kujayaap!tutafungua kwa sababu maalum pia!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanikakwambia humu kafata mwanaume jamani!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Kutongozwa? Unakuta basi ad limtu liko single linafunga badala liache wazi neema inaweza kuja
mkuu nenda hintwe kuna watoto wazuri sana wala hawasumbuiJf unaweza ukapenda avatar ukafikiria dem atakua chombo kumbee lahaulaa..nilishasemaga sitafuti tena dem jf..maana mara 3 zote vry disappointed, jina zurii avatar nzuriii ila sasa....ngoja niishie hapo